Ninja assasin JF-Expert Member Joined Jul 2, 2018 Posts 2,512 Reaction score 5,848 Jul 8, 2020 #1 Nimekutana na hii post ya Kipanya kuhusu ubigwa wa Simba SC Leo kiukweli nimetoka kapa mwenye wazo jamaa alitaka kusema nini
Nimekutana na hii post ya Kipanya kuhusu ubigwa wa Simba SC Leo kiukweli nimetoka kapa mwenye wazo jamaa alitaka kusema nini
Bishop Hiluka JF-Expert Member Joined Aug 12, 2011 Posts 7,147 Reaction score 14,699 Jul 9, 2020 #2 Tai wanasubiri kwanza Simba ashibe ili na wao wajisevie mzoga. Ila sijui kama ina uhusiano na ubingwa wa Simba..
Tai wanasubiri kwanza Simba ashibe ili na wao wajisevie mzoga. Ila sijui kama ina uhusiano na ubingwa wa Simba..