Mawazo Yangu Juu ya Rich Mavoko

Mbn alikuwa peke ake na alishaanza kupotea,sasa hv yuko on chart again.
Mwache ajijenge vzr zaidi itakapobidi kuondoka ataondoka kwa amani.
Ila kusema hapo hang'ari wala kupata mafanikio kama angekuwa peke ake unakosea sbb alikuwa hvo na alikuwa chini kbsa.

Philips X2560
 
Binafsi sikubaliani na mtoa Mada!

Kwanza WCB ni Record label, sio kundi la Muziki au Band ya Muziki, hivyo kuna utofauti mkubwa kati ya WCB na Weusi, ama Band za Ki Congo...

Msanii kukua kwenye Muziki kunategemea na vitu Vingi, Management nzuri, ambayo ni Wazo Rich Mavoko anayo, Kipaji-anacho, Nidhamu-anayo n.k..

Leo hii Rich Mavoko anajulikana East Africa yote hii, Kama Bongo fleva sasa inasikika Africa yote kwa sababu Diamond, na Diamond kokote akienda Africa ana represent Record Lebal yake, kwanza kuna faida kubwa kwa Rich Mavoko kuwa WCB, pili hata akiwa anafanya Promotion ya ngoma zake, hatatumia nguvu nyingi...

So nadhani ni taratibu zao tu WCB kuwa nani anatoka sasa, kwa level ipi, nani atafata n.k....ila wakati wa Rich Mavoko kuifikia Africa utafika, na sio kwamba umeshindwa kufika kwa sababu yupo chini ya Diamond...

Leo unamuona Ray vanny wa kawaida lakini tuzo aliochukua BET majuzi imemfanya atambulike Africa yote, na yeye kila akienda utasikia Asante kwa WCB, iwe Nigeria, South Africa, East Africa na nchi nyingine kote wanajua Leo kuna WCB Lebal Tanzania, mpaka Wasanii toka Nigeria wanaomba kuwa chini ya WCB....

Muziki ni hatua kwa hatua, naamini Rich Mavoko atatoboa Africa coz yupo sehemu sahihi.
 
Umeongea kweli ngoja tuone kama atajiongeza kama lil Wayne au atabweteka kwa kuridhika na hiko kidogo
 
Mavoko ndio hakuna kitu tena pale....Wakati ule aliposhauriwa aliwaona watu kama wanambania.

Leo hii kakubali kubadili style yake na mziki wake umekuwa mbovu badala ya kuwa bora.
 
This notion isn't always accurate.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

uko sahihi, I can write 4 million words to support you

watakaokuelewa hapa lazima wawe na miakili kama yako na yangu na mwingine aliyeelewa

usishangae wasipokuelewa pia, wale watu wapo
 
Ana contract tayari hawezi chomoka kirahisi

akivunja mkataba tu ...jamaa watachukua

hadi ndara ...but ushauri wako ni mzuri

siku zote huyu jamaa atakuwa ni underdog tu

Mtoto wa flani!
 
Mtoa mada una akili sana kwamba kuwa chini ya mtu Fulani ni wazi kwamba huwez kujua zaidi ya àliye juu yako.

Ila sasa labda tuangalie wcb waliingia mkataba Gani na yy? Labda yy ni mmoja wa share holder. Mimi nadhan Kila àliye chini ya wcb ni mmoja wa share holders na hivyo wao wanachangia pamoja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo ndo point mkuu, nimekuwa nikimfatilia dogo since then, mpaka anakuja kuamua kujiunga na WCB alikuwa flop tayari.

But now he is back in our thoughts, he is competing again, he is making money while doing what he loves more.
Umeongea kweli tupu ndugu

Japo sijaelewa mana lugha ni tatizo
 
Uyasemayo mkuu ni kweli kabisaaaa....Mavoko ni mzuri shinda Diamond na kimuziki anamuacha domo mbali mnooooo ila bahatii mbaya yake tu ni kule kuwa chini ya lebo ya domo.
 
Mavoko kwa sasa kila nyimbo anayotoa lazima ataje masikara sijui yamemfanya nini?
 
Hata ommy dimpoz nae, akitaka kuwa mkubwa atoke rockstar.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…