BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,474
- 4,039
Wakuu habari za leo.
Ninaomba ushauri madhubuti kuhusu eneo nililonalo.
Ni heka 20 eneo la Kibaha Misufini. Zaidi ya kupimwa na kusafishwa mara kwa mara hamna kinachoendelea kwenye hilo eneo na sina mpango wa kujenga huko kwa muda huu.
Eneo hilo lina ardhi nzuri pia maji mengi sana. Sasa mimi nipo mbali nalo lakini nilipenda nifikirie kitu na kuweza kuliweka hilo eneo katika hali ya kutumika. Mtu wa kuniangalizia ninaweza kupata ambaye atasimamia shughuli nitakayodhamiria kuiendeleza kutokana na mawazo nitakayopata na kuyashambua.
Natanguliza shukrani kwa mawazo/ushauri wenu.
Ninaomba ushauri madhubuti kuhusu eneo nililonalo.
Ni heka 20 eneo la Kibaha Misufini. Zaidi ya kupimwa na kusafishwa mara kwa mara hamna kinachoendelea kwenye hilo eneo na sina mpango wa kujenga huko kwa muda huu.
Eneo hilo lina ardhi nzuri pia maji mengi sana. Sasa mimi nipo mbali nalo lakini nilipenda nifikirie kitu na kuweza kuliweka hilo eneo katika hali ya kutumika. Mtu wa kuniangalizia ninaweza kupata ambaye atasimamia shughuli nitakayodhamiria kuiendeleza kutokana na mawazo nitakayopata na kuyashambua.
Natanguliza shukrani kwa mawazo/ushauri wenu.