Mawazo zaidi kuhusu maadili na nidhamu


hakika uko sahihi kuwa serikali ndio yenye kuwajibika kutoa elimu ya kujitegemea kwa raia. lakini serikali yetu haina viongozi wenye muono huo kwa sababu wanaikosa nidhamu yenye kuwaongoza kulijua hilo. na hiyo inasababishwa na kutokuwa na msingi bora wa maadili juu kipi kinastahili kufanywa km kitu kizuri kwa taifa na kipi kibaya.
 


Shayu:
Governments are the most inefficient enterprises in the world. Even in Scandinavian countries where people enjoy the highest quality of life on the planet, people there think that their governments are inefficient entities. So why do you think that the Tanzanian government with all its problems will be able to educate people who are capable of solving our problems?

The point I want to make is schools cannot teach students everything. In particular, they can’t instill entrepreneurship skills in those individuals who want to employee themselves and create opportunities for others. I am not downplaying the role of schools, but I think there’s a limit where formal education can take you when it comes to entrepreneurship.

Many professionals in academia have decided to become teachers, instructors, or professors, not because they have wanted too but because their professions have given them job security. For example if you are teacher in Tanzania, you might not get paid well, but you have a job for life. So tell me how these individuals who are afraid to take risks will teach young minds the values of business ownership?

As a society, Tanzanians shouldn’t downplay the roles of their own environments. For example, Tanzanian Indians, arabs, chaggas or wapemba are most likely to be involved in self-employment because their parents prepare them to think so. So instead of asking the government to be involved in every aspect of your child’s life, you should change your mindset.

If we go back to the original theme of this thread, you will find out that maadili and nidhamu are problems because people don’t see the relationship between their contribution to the well-being of the nation and what they get in return from their government.
 


Miongoni mwa mambo ambayo sipendi ni kwa watumishi wa umma kwa wakati mmoja kuwa wafanyabiashara na watumishi wa umma. Umeliongelea hili jambo sidhani kama ni sahihi. Nadhani ni muhimu kwa wafanyakazi wa umma kutengenezewa mazingira mazuri ili wajitoe wote katika kazi walizoajiriwa. Hili ni muhimu sana. Ili kuongeza tija katika utumishi wa umma ama sivyo tutakuwa tunacheza. Ni muhimu kwa wao kupewa mahitaji yao muhimu, na wanaweza kupatiwa kama serikali ikijipanga. Ya kuwa na nyumba bora, elimu bora kwa watoto wao kwa kuimarisha elimu yetu na pia kuimarisha mifuko yetu ya jamii. Ili wafanyakazi wa umma wawe na imani na maisha yao baada ya kustaafu waishi maisha ya adili na yenye kumfariji. Hatuwezi kuwa na wanajeshi ambao kwa wakati mmoja anafanya ujasiriamali dukani na wakati huo huo kufikiria ulinzi hivyo hivyo kwa walimu hatutaweza kuzalisha kitu bora. Tuwaache wajasiliamali wawe wajasilaimali na watumishi wa umma wawe watumishi wa umma. Tuboreshe maslahi yao waishi maisha ambayo ya wastani ambayo yatamwezesha mfanyakazi wa umma kusomesha watoto wake katika shule za umma zilizoboreshwa, kupata huduma za afya, kuwa na makazi bora na gurantee kwa maisha yake ya ustaafu. Kwahiyo ni lazima tujenge kuridhika huku kwa watumishi wa umma. Tutenganishe kati ya utumishi wa umma na biashara. Ni sawa kwa mtumishi wa umma mke wake au mume wake ambae sio mtumishi wa umma kufanya biashara lakini sio kinyume chake. Jambo hili lina madhara yake katika utendaji wa utumishi wa umma.
 



You are misguided. Can you tell me who is mfanyabiashara and who isn’t? When you go to work, what do you think you do? You sell your employer your expertise, skills, or manual labor. So in essence you aren’t different from the person who operates bus services, owns a TV station, or a commercial farm. So stop looking at businessman as a person who’s incapable of working for the government.

Second, your ideas stiffed social mobility, exchange of ideas and innovation. Take for example professors at the UDSM. According to you, they are public servants and shouldn’t participate in the market place as a business people. The question is can they write books for profits? According to you, they shouldn’t because they are public servants. For your information, writing a book is a business endeavor as teaching in another school or performing consulting assignments?

The advance in technology makes some professions in public arena obsolete. If you don’t allow people to venture outside their professions, how are you going to help individuals that the government has decided to reduce them from the workforce? Or do you think the government job is a life entitlement? Once you are in, you will stay there indefinitely.

Why should public servants be satisfied with what they have got? Why do you think that a public servant can’t be a millionaire? And why do you thing that it’s the duty of the government to provide houses for its workers?
So your ideas don’t solve the root cause of nidhamu and maadili mabaya. As a matter of fact, rather than helping, you exaggerate the problem because you think government is a solution of every social predicament.
 


Hujanielewa vizuri concept niliyokuwa naongelea na falsafa yangu nzima.
 
Hujanielewa vizuri concept niliyokuwa naongelea na falsafa yangu nzima.

I understand you very well but there's a huge different between you and me. We live in two different and opposing political extremes. Based on your posts, it seems you favor highly regulated environments in which the government is a master of everything.
 

A Country is organism. ufanisi wa nchi utategemea sana ufanisi wa element zinazounda taifa eg watu na taasisi zao. ili taifa liendelee lazima kuwe na regulations katika baadhi ya mambo. Mimi nafikiri baadhi ya mambo ni misingi ya taifa imara. Hasa suala la national ethics.
 
Nimekusoma vyema uchanganuzi wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…