Na huu ndo ukweli wanawake wengi tunashindwa kuukubali.Dada wa wanaume wanasahau kuwa mwanaume akishaoa wao si kipaumbele tena, kipaumbele na jukumu lake ni kuhusu mkewe.
Wao inabaki kuwa msaada na msaada si lazima.
Kuna watu yanawakuta makubwa kwa kweli.Hili halina ubishi tabu inayopatikana ni ya nguo kuchanika, hawa wanaojulikana mawifi inakuwa mtihani katika ndoa japo na wao huwa ni mawifi, yaani inakuwa hapaeleweki, embu wadada tupeni elimu inakuwaje?
Mawifi tunaomba ule wimbo wa mtaachana tuπ€£.Dj lete mawifiiiii
Ngendembwe huwa zinazidi hapo kwenye kukaa karibu/ pamoja....mtagombana tuuuMawifi tunaomba ule wimbo wa mtaachana tuπ€£.
Mimi Kwa wake wa Kaka zangu Yani sina habari, tena wakileta Stori za kuachana naawaambia wakomae tu na ndoa zao....najua wakiachana watanisumbua na watoto as am the only aunt.π
Dada wa mume wangu sasa, vichomi, Wana midomo, Tulikuwa tunaishi mbali, sasa tumesogea mkoa walipo nasubiri movie ianze!
Naam naam big sisy..
Duh we ulijuaje?[emoji848]Ipo hivi!
Wanawake kwa desturi hawapendani,!! Muda pekee mwanamke anakuwa kitu kimoja na mwanamke mwenzie ni pale anapokuwa kwenye hardship ili ampe pole ya kinafiki!!
Sasa wifi anapohisi kaka yake yupo simple , romantic kwa mkewe , chuki inaanza hapo kwa kuona mwanamke mwenzie anafaidi
Ugomvi wa mawifi na wake hautokuja kuisha maisha , kwa sqbabu dada zetu wanatamani wapate wanaume wanaofanana na kaka zao
Sent from my RMX3085 using JamiiForums mobile app
Hahaha jiandae[emoji38]Mawifi tunaomba ule wimbo wa mtaachana tu[emoji1787].
Mimi Kwa wake wa Kaka zangu Yani sina habari, tena wakileta Stori za kuachana naawaambia wakomae tu na ndoa zao....najua wakiachana watanisumbua na watoto as am the only aunt.[emoji23]
Dada wa mume wangu sasa, vichomi, Wana midomo, Tulikuwa tunaishi mbali, sasa tumesogea mkoa walipo nasubiri movie ianze!
Usimzoee wifi utakuja nishukuru[emoji848]Ngendembwe huwa zinazidi hapo kwenye kukaa karibu/ pamoja....mtagombana tuuu
Binafsi natamani ningepata mume kama baba yangu, he is my role model kwenye suala la ndoa.Ipo hivi!
Wanawake kwa desturi hawapendani,!! Muda pekee mwanamke anakuwa kitu kimoja na mwanamke mwenzie ni pale anapokuwa kwenye hardship ili ampe pole ya kinafiki!!
Sasa wifi anapohisi kaka yake yupo simple , romantic kwa mkewe , chuki inaanza hapo kwa kuona mwanamke mwenzie anafaidi
Ugomvi wa mawifi na wake hautokuja kuisha maisha , kwa sqbabu dada zetu wanatamani wapate wanaume wanaofanana na kaka zao
Sent from my RMX3085 using JamiiForums mobile app
Tabu inaanzia pale ambapo hao mawifi hawapati "mahaba" kama ambayo wifi yao anayapata kwa kaka yao. Wao unakuta kwenye ndoa zao kuna kashkashi za kutosha halafu wakicheck huku wifi yao ananona kwa tabasamu la raha. Hapo kutakuwa na kupendana kweli?.Hili halina ubishi tabu inayopatikana ni ya nguo kuchanika, hawa wanaojulikana mawifi inakuwa mtihani katika ndoa japo na wao huwa ni mawifi, yaani inakuwa hapaeleweki, embu wadada tupeni elimu inakuwaje?
Msaada kwa dada sio lazimaπ² acheni ujingi nyie ni wake sio ndugu. Tukifiriaikaga ndio mnakuwaga wa kwanza kutubwaga. Dada yangu ni lazima nimsaidieDada wa wanaume wanasahau kuwa mwanaume akishaoa wao si kipaumbele tena, kipaumbele na jukumu lake ni kuhusu mkewe.
Wao inabaki kuwa msaada na msaada si lazima.
Ndo nasubiri show...na hivi hamna referee Ma mkwe kashafariki manake ndio alikuwa mtetezi wangu, huwezi kunisema vibaya akuelewe...Mwenzenu nilikuwa najua kujipendekeza Kwa ma mkwe...Yani hazipiti siku Tatu nimempigia, mara nimtumie vocha, mara posho ya mazingira magumu, mara fao la kunizalia mume...nikamtekaaaaa, mawifi wakakituliza...Ngendembwe huwa zinazidi hapo kwenye kukaa karibu/ pamoja....mtagombana tuuu
Nisaidie kucheka na mie...kuna mawifi wangepata waume Kama Kaka zao wangekuwa washaumwa presha na Sukari...watushukuru watoto wa watu tunavumilia vichomi vyao, tunazaa kuongeza ukoo wao..hiiiii eti wanaume wanaofanana na kaka zao πππππ nacheka kama mazuri
Wacha weeh mama Pablo hutaki utani na mawifi njaa wakikuzingua unawazinguaKwanza kabisa inategeneaga na mguu anaokuja nao kwenye mji wetu huyo wifi.
Mara nyingi wenye matatizo ni wale wanaooleea kwenye miji ya watu wakiingia kama kwenda kusambaratisha kilinge. Hawapendi ile ushirikiano na upendo kama ambavyo family imekua ikiishi. Halafu ubinafsi ni tatizo lingine. Yaan ubinafsi tu na si kingine. Unakuta mwingine ametoka familia ya kimadkini huko basi akiona mali nafsi inampwita balaa na hajui hata jasho limetokaje...
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app