Dj lete mawifiiiii
Dj lete mawifiiiii
[emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Naam naam big sisy..
Naomba nikuhakikishie kuwa huyo lastiboni akileta ukuda wake atachezea vitasa na nyundo nyingi nyingi za utosi[emoji2][emoji2][emoji2]
yaani jiandae tuMawifi tunaomba ule wimbo wa mtaachana tu[emoji1787].
Mimi Kwa wake wa Kaka zangu Yani sina habari, tena wakileta Stori za kuachana naawaambia wakomae tu na ndoa zao....najua wakiachana watanisumbua na watoto as am the only aunt.[emoji23]
Dada wa mume wangu sasa, vichomi, Wana midomo, Tulikuwa tunaishi mbali, sasa tumesogea mkoa walipo nasubiri movie ianze!
wazaramo kazi unayo.Ndo nasubiri show...na hivi hamna referee Ma mkwe kashafariki manake ndio alikuwa mtetezi wangu, huwezi kunisema vibaya akuelewe...Mwenzenu nilikuwa najua kujipendekeza Kwa ma mkwe...Yani hazipiti siku Tatu nimempigia, mara nimtumie vocha, mara posho ya mazingira magumu, mara fao la kunizalia mume...nikamtekaaaaa, mawifi wakakituliza...
Sasa game linaenda kuanza 1-1[emoji1787][emoji1787][emoji1787] halafu mawifi wazaramo.
hahahahaKuna wale mawifi kwenye harusi fulani MC alikuwa Garab ..walimpa tahadahari wifi yao kuwa kaka yao yuko romantic ni handsome anajua kupenda na ana mvuto hivyo ahakikishe ana mtunza vizuri!
Sasa just imagine hapa Mke na wifi zake watakuwa na uhusiano gani?
Hawaelewi. Ndo maana nimekua nikieleimishwa kwamba, katika biashara ogopa sana mapenzi yakihusika. Utalia kilio cha panzi. Yaan mpenzio siyo nduguyo. Siku yakiharibika na biashara imekufaWaeleze wanadhani kutubwba kitandani ndio inatosha kufanya tuwasahau dada zetu...mbususu zipo nyingi tuu na ukikubali kuolewa kaa ukijua kua huo ni muunganiko wa familia mbili sio watu wawili
Kuna wanawake wanahuzunisha sana. Wanatafutaga shari zisizo na ulazima. Wanakuta family zina amani kabisa. Basi wataanza chokochoko. Sijui kwann hawatakagi kabisa bond ya mumewe na nduguze kuendelea tena. Sijui wana matatizo gani. Utafikiri dsda zao wanashare huo mkia na ndugu yao. Wale ni damu na nyama mojaHahaha ni kweli wengine wakiingia nyumba fulani basi kama ndugu walikuwa na mawasiliano mazuri basi lazima waanze kugombana na wengine kuto kuongea kabisa!
Ngwajima alisema toka Doroth aolewe kwao basi ndugu yao(kaka) amegombana na kila mtu kwao na kufikia kugombana na hata baba yake mzazi na hawasemeshani na baba kufikia hatua ya kusema hamtambui mwanae..kisa na chanzo ni Doroth!
Naam naam big sisy..
Naomba nikuhakikishie kuwa huyo lastiboni akileta ukuda wake atachezea vitasa na nyundo nyingi nyingi za utosi[emoji2][emoji2][emoji2]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mungu asaidie tu huyo mume asiwe ndio anategemewa kwa kila kitu huko kwao.
Duuh dada mtu anaingiaje chumba cha kaka yake na mkewe?😳😳 ajabu hii na uswahili kiwango cha lamiUkiona Dada yako na mke wako wana urafiki wa karibu sana,chunguza kwa makini, either mkeo anamfichia maovu dada yako au dada yako anamfichia maovu mke wako! Wawe na urafiki wa kawaida tu,sio urafiki hadi dada yako anaingia kwenye chumba chako kujiangalia kwenye dressing table!
Ahsante kwa kutoa ushahidi wako ShahidiNi heri ungeandika baadhi. Mimi na wifi yangu hatujawahi kuacha kuelewana, tuna mahusiano mazuri
Tabia mbaya sana hii.Wapo ndugu yangu! Yaani hadi unajiuliza hawa watu,mbona wanakua hivi?? Dada mtu,anajua hadi boxer za kaka yake
AsanteeAhsante kwa kutoa ushahidi wako Shahidi
Acha kabisa.Au ndiyo mtoto wa kiume wa pekee teh
Sitaki familia ambazo macho yote yapo kwa kaka yaoNakuaminia kamanda[emoji23][emoji23]
Nipo sana ila huwa nakomenti kidogo kama hivi.Asantee
Umepotelea wapi siku hizi sikuoni