Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo uzezeta hamna mapenz apo
Boyaa[emoji848][emoji848][emoji848] kidume kinapaswa kitoe maelezo kuhusu sms iliyotumwa na Afande inayosomeka *siku zangu sizion" ndio maana anajikip bize labda mjadala utafutwaBoya kweli
Wa hivi mpo wachache sana!Mmh! Hivi hapo kuna shida gani? Yaani kumbeba mwanangu na kufanya vikazi vya nyumbani ni maajabu?
Mbona mimi mtoto wangu mdogo wa kike nambeba naenda nae hadi sokoni? Tena akiniona hata mama yake hamtaki.
Wee acha ujinga ...kila mtu abe e jukumu lake hapa...wee jukumu lako ni kutafuta pesa mke alee watotoMmh! Hivi hapo kuna shida gani? Yaani kumbeba mwanangu na kufanya vikazi vya nyumbani ni maajabu?
Mbona mimi mtoto wangu mdogo wa kike nambeba naenda nae hadi sokoni? Tena akiniona hata mama yake hamtaki.
Mmmh!, mzabzab....Wee acha ujinga ...kila mtu abe e jukumu lake hapa...wee jukumu lako ni kutafuta pesa mke alee watoto
Umegusa mahala penyeweUnakuta hapo kaepusha ugomvi tu ili maisha yaendelee. Wanaume tunajinyima furaha ili maisha yaendelee.
Huenda yeye ndo hulea watoto na Mkewe ndiyo Provider nyumbaniWee acha ujinga ...kila mtu abe e jukumu lake hapa...wee jukumu lako ni kutafuta pesa mke alee watoto
Huyo mwanamke ni mbaya kweli mitishamba inafanya kazi