Mawifi loving ruksa lakini ukweli wa mambo kaka yenu amependa

Mawifi loving ruksa lakini ukweli wa mambo kaka yenu amependa

Nihivi kama mapenzi acha yanipite tu lakini siwezi fanya huu ujinga nitafute pesa ya kujikimu maisha yetu halafu yeye eti amekaa tu nani mzima duh ; hapo sasa moyo sio sukuma tena damu ni moyo sukuma chapati .Dunia nishushe .
 
Mawifi msingi wa chuki zao ni kukatwa kwa ruzuku toka kwa kaka zao [emoji108][emoji108]

Unakuta kabla ya kaka yao kuoa walikuwa wakimchomoa vijisenti vya hapa na pale na kufurahi,

Sasa kaolewa mtu anakuja anabana na kukata ruzuku yote , sasa hapo chuki itaepukika ?

Labda upate wawifi ambao wana financial freedom kinyume na hapo mke ujue kuendeleza upendo na mshikamano au ukiketa choyo umetangaza mgogoro na kwa baadhi ya familia wanamkuwadia kaka yao wakukomeshe [emoji108][emoji108]
Na watahahakisha unapata taarifa sahihi bila shaka kuwa jamaa ana Mwanamke mwingine au wengine !

Kheri kuchagua upendo na ukarimu kwa ndugu, marafiki na majirani maana upendo husitiri wingi wa makosa!
 
Back
Top Bottom