Max Malipo wawekeni wazi mawakala wenu kuhusu kupungua kwa kamisheni

Max Malipo wawekeni wazi mawakala wenu kuhusu kupungua kwa kamisheni

hiyo ni kadhia, mimi mashine hyo nishaiuza majuzi, niliyemuuzia alinipa 80% ya malipo, kanipigia leo asubuhi kuwa anataka airudishe mashine hana hela ya kumalizia, nimemwambia hiyo 20% iliyobaki nmekusamehe, nakutakia biashara njema
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yaani kama ni mimi ningempelekea na rollers kama 10 hivi za kumtia moyo mshkaji
 
Kwani maxcom ni ya serikali? Au umevurugwa ndio maana unachangia ndivyo sivyo. Waulize maxcom kwani yeye ashushe kamisheni wakati wengine bado kamisheni ni nzuri?
Kama hujui kitu ni bora kukaa kimya. Hao wanaotoa kamisheni nzuri ni kina nani?? Selcom nayo wameshusha. Na sababu kubwa ni kutokana na mabadilko ya kutumia huo mfumo wa kiserikali. Sasa hapo unawatoaje serikali kwenye kuhusika na upandaji wa hiyo gharama?
 
Mkuu unategemea maxmalipo wakulipie hela ya kula,kunywa,kulala,kuvaa,pango,kodi?
Yaani biashara unayofanya ndio hyo tu?basi acha.
 
hiyo ni kadhia, mimi mashine hyo nishaiuza majuzi, niliyemuuzia alinipa 80% ya malipo, kanipigia leo asubuhi kuwa anataka airudishe mashine hana hela ya kumalizia, nimemwambia hiyo 20% iliyobaki nmekusamehe, nakutakia biashara njema
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Max Malipo wawekeni wazi mawakala wenu kuhusu kupungua kwa kamisheni, haiwezekani mkasema tu kuwa kamishen imepungua kutoka 2.5% hadi 0.5% ya mauzo anayofanya wakala kwny luku alafu muishie hapo hapo.

A). 0.5% ya 100,000 ni shilingi 500, yaani wakala akiuza umeme wa luku wa 100,000 anapata shilingi 500 kuanzia leo 02/04/2018 kama mlivyotutumia ujumbe kwnye mashine za maxmalipo jana usiku kuwa kamishen ya mauzo ya luku ni 0.5 ya kile nitakachouza.
B). Kumbukeni kuwa nikiweka 100,000 kwenye mashine ya maxmalipi kutoka kwenye laini yangu ya vodacom ninatozwa ada ya shilingi 700, huu ni utatatibu wa siku nyingi ####
#NB NIKIWEKA 100,000 KWENYE MASHINE YA MAXMALIPO NINAKATWA 700, NIKIIUZA HIYO 100,000 NINAPATA FAIDA YA 500 AMBAPO NINAKUWA NIMETENGENEZA HASARA YA SH 200
(C) Pia ili wakala aweze kuuza umeme kwa kutumia mashine ya maxmalipo ni lazima anunue roller ya karatasi na roller 1 ni shilingi 2000, hapo hapo anatakiwa alipe kodi ya pango la biashara, anatakiwa ale, anywe, avae, atunze familia, ajenge kwake, anunue gari n.k

SASA HII NI KAZI AU KADHIA?
HAPA KAZI TUUU
 
Mkuu unategemea maxmalipo wakulipie hela ya kula,kunywa,kulala,kuvaa,pango,kodi?
Yaani biashara unayofanya ndio hyo tu?basi acha.
nimemshangaa sana anaongezea hadi apate gari. juu ya hako ka biashara. wangapi wamefanya kazi serikalini mpaka wqnastaafu hawqna gari?
nani kasema kila biashara italeta nyumba gari na mavazi mbali na chakula?

somtym naonea huruma viongozi wetu kwa vichwa wavyoviongoza vyenye fikra kama hizi.
 
hiyo ni kadhia, mimi mashine hyo nishaiuza majuzi, niliyemuuzia alinipa 80% ya malipo, kanipigia leo asubuhi kuwa anataka airudishe mashine hana hela ya kumalizia, nimemwambia hiyo 20% iliyobaki nmekusamehe, nakutakia biashara njema
hahahaha dah...ila ntaftie namimi mteja mkuuu ukimpata njoo nishtue chap namimi niitoe hii kadhia..zipo mbili
 
Kama hujui kitu ni bora kukaa kimya. Hao wanaotoa kamisheni nzuri ni kina nani?? Selcom nayo wameshusha. Na sababu kubwa ni kutokana na mabadilko ya kutumia huo mfumo wa kiserikali. Sasa hapo unawatoaje serikali kwenye kuhusika na upandaji wa hiyo gharama?
Kama SERIKALI imeweka mfumo wa kuthibiti uvujaji wa mapato yake hilo halina ubaya inabidi hao maxmalipo & co wajiongeze vinginevyo watakosa wakala.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nimemshangaa sana anaongezea hadi apate gari. juu ya hako ka biashara. wangapi wamefanya kazi serikalini mpaka wqnastaafu hawqna gari?
nani kasema kila biashara italeta nyumba gari na mavazi mbali na chakula?

somtym naonea huruma viongozi wetu kwa vichwa wavyoviongoza vyenye fikra kama hizi.
Mjinga mkubwa kweli kweli kwa iyo kama. Ww umestafu huna. Gari wala nyumba ndo unataka kila mtu asiwe na hivo vitu kisa tu we huna.... Hii ni. Roho mbaya mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom