[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yaani kama ni mimi ningempelekea na rollers kama 10 hivi za kumtia moyo mshkajihiyo ni kadhia, mimi mashine hyo nishaiuza majuzi, niliyemuuzia alinipa 80% ya malipo, kanipigia leo asubuhi kuwa anataka airudishe mashine hana hela ya kumalizia, nimemwambia hiyo 20% iliyobaki nmekusamehe, nakutakia biashara njema
Kama hujui kitu ni bora kukaa kimya. Hao wanaotoa kamisheni nzuri ni kina nani?? Selcom nayo wameshusha. Na sababu kubwa ni kutokana na mabadilko ya kutumia huo mfumo wa kiserikali. Sasa hapo unawatoaje serikali kwenye kuhusika na upandaji wa hiyo gharama?Kwani maxcom ni ya serikali? Au umevurugwa ndio maana unachangia ndivyo sivyo. Waulize maxcom kwani yeye ashushe kamisheni wakati wengine bado kamisheni ni nzuri?
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]hiyo ni kadhia, mimi mashine hyo nishaiuza majuzi, niliyemuuzia alinipa 80% ya malipo, kanipigia leo asubuhi kuwa anataka airudishe mashine hana hela ya kumalizia, nimemwambia hiyo 20% iliyobaki nmekusamehe, nakutakia biashara njema
HAPA KAZI TUUUMax Malipo wawekeni wazi mawakala wenu kuhusu kupungua kwa kamisheni, haiwezekani mkasema tu kuwa kamishen imepungua kutoka 2.5% hadi 0.5% ya mauzo anayofanya wakala kwny luku alafu muishie hapo hapo.
A). 0.5% ya 100,000 ni shilingi 500, yaani wakala akiuza umeme wa luku wa 100,000 anapata shilingi 500 kuanzia leo 02/04/2018 kama mlivyotutumia ujumbe kwnye mashine za maxmalipo jana usiku kuwa kamishen ya mauzo ya luku ni 0.5 ya kile nitakachouza.
B). Kumbukeni kuwa nikiweka 100,000 kwenye mashine ya maxmalipi kutoka kwenye laini yangu ya vodacom ninatozwa ada ya shilingi 700, huu ni utatatibu wa siku nyingi ####
#NB NIKIWEKA 100,000 KWENYE MASHINE YA MAXMALIPO NINAKATWA 700, NIKIIUZA HIYO 100,000 NINAPATA FAIDA YA 500 AMBAPO NINAKUWA NIMETENGENEZA HASARA YA SH 200
(C) Pia ili wakala aweze kuuza umeme kwa kutumia mashine ya maxmalipo ni lazima anunue roller ya karatasi na roller 1 ni shilingi 2000, hapo hapo anatakiwa alipe kodi ya pango la biashara, anatakiwa ale, anywe, avae, atunze familia, ajenge kwake, anunue gari n.k
SASA HII NI KAZI AU KADHIA?
nimemshangaa sana anaongezea hadi apate gari. juu ya hako ka biashara. wangapi wamefanya kazi serikalini mpaka wqnastaafu hawqna gari?Mkuu unategemea maxmalipo wakulipie hela ya kula,kunywa,kulala,kuvaa,pango,kodi?
Yaani biashara unayofanya ndio hyo tu?basi acha.
yaani acha tu best sisi wafanyabiashara tunataabika kweliSijui wanaofanya mabadiliko huwaga wanafanya upembuzi yakinifu,au ndo kutiana hasara tu.
hahahaha dah...ila ntaftie namimi mteja mkuuu ukimpata njoo nishtue chap namimi niitoe hii kadhia..zipo mbilihiyo ni kadhia, mimi mashine hyo nishaiuza majuzi, niliyemuuzia alinipa 80% ya malipo, kanipigia leo asubuhi kuwa anataka airudishe mashine hana hela ya kumalizia, nimemwambia hiyo 20% iliyobaki nmekusamehe, nakutakia biashara njema
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hiyo ni kadhia, mimi mashine hyo nishaiuza majuzi, niliyemuuzia alinipa 80% ya malipo, kanipigia leo asubuhi kuwa anataka airudishe mashine hana hela ya kumalizia, nimemwambia hiyo 20% iliyobaki nmekusamehe, nakutakia biashara njema
Braza mbn unaongea kam sio mtanza-giza?"mlizoea pesa za bure mlikuwa nafisadi,tufanye kazi kama hufanyi kazi hutapata hela awamu hii"lilisikika jiwe likisema
Kwani hiyo maxmalipo ni mali ya Magufuli?Tukisema Magufuli ana demoralize biashara CCM Na mazuzu wengine wakabisha. Sasa mambo yako bayana
Kama SERIKALI imeweka mfumo wa kuthibiti uvujaji wa mapato yake hilo halina ubaya inabidi hao maxmalipo & co wajiongeze vinginevyo watakosa wakala.Kama hujui kitu ni bora kukaa kimya. Hao wanaotoa kamisheni nzuri ni kina nani?? Selcom nayo wameshusha. Na sababu kubwa ni kutokana na mabadilko ya kutumia huo mfumo wa kiserikali. Sasa hapo unawatoaje serikali kwenye kuhusika na upandaji wa hiyo gharama?
Tunapata taabu sana mpaka. Msukuma. Huyo aachie hii nchi tutakuwa mashwtwani haswaa.Tukisema Magufuli ana demoralize biashara CCM Na mazuzu wengine wakabisha. Sasa mambo yako bayana
We boya nani afanye kazi. Ya. Kumuosha mbwa fanya mwenye"mlizoea pesa za bure mlikuwa nafisadi,tufanye kazi kama hufanyi kazi hutapata hela awamu hii"lilisikika jiwe likisema
Sanaaa tena sio kidogo mkuuuWale wanaoshabikia wengi wao ni jobless na wanakula bure kwa wazazi wao,lakni kama ni mpambanaji kitaaa lazima utakuwa umeathiriwa na hii awamu namna moja au nyingine
Mjinga mkubwa kweli kweli kwa iyo kama. Ww umestafu huna. Gari wala nyumba ndo unataka kila mtu asiwe na hivo vitu kisa tu we huna.... Hii ni. Roho mbaya mkuunimemshangaa sana anaongezea hadi apate gari. juu ya hako ka biashara. wangapi wamefanya kazi serikalini mpaka wqnastaafu hawqna gari?
nani kasema kila biashara italeta nyumba gari na mavazi mbali na chakula?
somtym naonea huruma viongozi wetu kwa vichwa wavyoviongoza vyenye fikra kama hizi.