Max Nzingeli nimemuelewa

Max Nzingeli nimemuelewa

Hakika jamaa anajua boli kwa huyu tatizo la winga Yanga sasa tutapumzika..
Jamaa anashuka hadi chini kuchukua mipira na kupandisha nayo kwa kasi.
Na hapo bado jamaa ana nguvu, speed pia ball skills za hatari huyu jamaa ndo atachukua umaarufu wa Mayele msimu huu. Halafu ki position huyu jamaa ni SS yaani Second striker kama ilivo Kwa Messi au Nkuku...
Time will tell
 
Na hapo bado jamaa ana nguvu, speed pia ball skills za hatari huyu jamaa ndo atachukua umaarufu wa Mayele msimu huu. Halafu ki position huyu jamaa ni SS yaani Second striker kama ilivo Kwa Messi au Nkuku...
Time will tell
Yes jamaa anajua kufunga pia akiwa Maniema fc kakiwasha sana na kuibeba timu mpaka kuingia top four ligi ya DRC
 
Nawashukuru sana nyote mliochangia mada hapo juu, nimependa mtiririko na namna mnavyosapotiana hoja bila kuingiliwa na wenye matusi wanaojificha kwenye kivuli cha hoja kinzani"
Hakika nime-enjoy sana utafikiri mahojiano fulani
 
Sahihi kabisa. Kennedy Musonda peke yake hatoshi. Na Clement Mzize hana utulivu.

Na mshambuliaji mwenyewe anatakiwa awe na CV kubwa kumzidi hata Mayele, ili aingie moja kwa moja kwenye kikosi cha kwanza.
Halafu kuna kima mmoja humu alifikia kumfananisha Mayele na Kibu Denis!

Watu hawana adabu.
 
Nawashukuru sana nyote mliochangia mada hapo juu, nimependa mtiririko na namna mnavyosapotiana hoja bila kuingiliwa na wenye matusi wanaojificha kwenye kivuli cha hoja kinzani"
Hakika nime-enjoy sana utafikiri mahojiano fulani
Mashabiki wa Yanga hawana midomo michafu kama wale wa upande wa pili. Mara nyingi wanapenda kujikita kwenye hoja inayojadiliwa.
 
Back
Top Bottom