Maxence Melo aeleza safari yake katika kutetea Uhuru wa Kujieleza na Haki ya Faragha

Maxence Melo aeleza safari yake katika kutetea Uhuru wa Kujieleza na Haki ya Faragha

Mnaoponda Max kuchaguliwa kwenye bodi piteni hapa...
Hilo la kuchaguliwa haliko vizuri linamuweka kwenye nafasi ngumu sana kuendelea na msimamo, kunakuwa na mgongano wa maslahi
 
Habari Wakuu,

Maxence Melo akiwa studio za Wasafi FM ameelezea jinsi Serikali ilimhenyesha akiupigania Uhuru wa Habari Tanzania.

Katika mapambano hayo amepitia changamoto mbalimbali ni pamoja na;

1. Pasi zake ya kusafiria kuzuliwa
2. Amehudhuria Mahakamani mara 159

Unaweza kumsikiliza hapo chini

View attachment 2848056
Kaka pole mtukuze Mungu, wewe upo wao hawapo, kila jambo baya lina mwisho wake!!
 
Back
Top Bottom