Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,743
- 25,564
DITKwani alisomeaga wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DITKwani alisomeaga wapi?
Kwahivyo ni mtaalamu mzuri wa mambo ya computer na network?
Ni sahihiKwahivyo ni mtaalamu mzuri wa mambo ya computer na network?
Hizo sheria za hiyo nchi zinakandamiza haki za raia wa kawaida.Mkuu,
Hatma ya JLW inategemea sheria za nchi..kuna pahala maxence alielezea.....
SifahamuNi sahihi
Mtoa wazo, uko sawa, universities mbalimbali duniani nadhani wanalifikiria hilo. Mama D , naye atakubaliana na hoja hii.
Si akasomee mbona bado kijana au anataka ujiko wa dezo kama akina Jakaya Kikwete kilaza anayejiita daktari wakati hata masters hana.Ni bahati mbaya sana kwa vyuo vya nchi zetu hizi kuangalia zaidi wanasiasa na matajiri wakubwa na kuwagawia heshma hii kuliko kuangalia watu wenyemchango mkubwa mahususi katika jamii pana.
Kwa wenzetu mfano Harvard & na Oxford hutazama zaidi watu wenye mchango mkubwa katika tasnia flan, au utofauti mkubwa katika ufanyaji wajambo lenye Tija kwa jamii. Mfano wawatu waliotunukiwa hesma hii ni Muasisi wa Microsoft , Gates, nq Yule Luciano yule muitaliana wa opera min.
Kwanini Maxence apewe?
Nani asiyejua mapinduzi ya habari za kidigital Tanzania yameletwa na Jamiiforum?
- Unajua JamiiForums ni jukwaa pekee la kitanzania linaloruhusu watumiaji wake kutoka kutoka maoni huku likijitahidi kulinda privacy ya watumiaji wake?
- Anajua ndio Ndio mtandao wenye machapisho mengi zaidi kutoka Tanzania?
- Anajua hakuna mahali palipoandikwa kwa kiswahili mtandaoni maranyingi kama jamii forum?
- anyway nahisi kuna mengi ambayo bado siyajui kuhusu Huu mtandao lakini kwa hayo machache yanaweza kuwa sifa za heshma hiyo.
Mwisho, Haya nimaoni yakibinafsi.
Kwanini Maxence apewe?Ni bahati mbaya sana kwa vyuo vya nchi zetu hizi kuangalia zaidi wanasiasa na matajiri wakubwa na kuwagawia heshma hii kuliko kuangalia watu wenyemchango mkubwa mahususi katika jamii pana.
Kwa wenzetu mfano Harvard & na Oxford hutazama zaidi watu wenye mchango mkubwa katika tasnia flan, au utofauti mkubwa katika ufanyaji wajambo lenye Tija kwa jamii. Mfano wawatu waliotunukiwa hesma hii ni Muasisi wa Microsoft , Gates, nq Yule Luciano yule muitaliana wa opera min.
Kwanini Maxence apewe?
Nani asiyejua mapinduzi ya habari za kidigital Tanzania yameletwa na Jamiiforum?
- Unajua JamiiForums ni jukwaa pekee la kitanzania linaloruhusu watumiaji wake kutoka kutoka maoni huku likijitahidi kulinda privacy ya watumiaji wake?
- Anajua ndio Ndio mtandao wenye machapisho mengi zaidi kutoka Tanzania?
- Anajua hakuna mahali palipoandikwa kwa kiswahili mtandaoni maranyingi kama jamii forum?
- anyway nahisi kuna mengi ambayo bado siyajui kuhusu Huu mtandao lakini kwa hayo machache yanaweza kuwa sifa za heshma hiyo.
Mwisho, Haya nimaoni yakibinafsi.
PhD za heshima sio za kusomea bali ni za kutunukiwa kulinganya na mchango wako chanya kwenye jamii husikaSi akasomee mbona bado kijana au anataka ujiko wa dezo kama akina Jakaya Kikwete kilaza anayejiita daktari wakati hata masters hana.
SahihiHe deserve it