Maxence Melo: Changamoto za Vyombo vya Habari na kukosa Matangazo

Dah kweli lisemalo lipo. Wale jamaa wakijani waliwahi sema kuwa JF ipo funded na watu kutoka nje. Asa nadhani wao they take it as charity na nadhani moja ya masharti waliompa bwana JF ni pamoja na hayo yakutopakia ads za Industry Fulani Katika platform hii. Mana it makes no sense kwa media kukataa matangazo unless otherwise.

Kumbe Mataga walikuwa damn true kwa mara ya kwanza.
 
Nimeelewa mjukuu. Nilikuwa nachombeza
Naumwa....njaa inauma. .mwili hauna nguvu....kila kitu kimelegea
Pole sana kipenzi. Umejaribu kwenda hospitali au unataka nije kukumasaji?
 
Jukwaa la matangazo ni kitu tofauti..

Angalia browser yako ina hilo tangazo la CRDB au wanapromote channels zao, hayo ndio matangazo yanayozungumzwa, sio majukwaa
Alichoongelea si ni matangazo? Mbona una yumba sana.
 
Jamii forums inakua Kama balaza la ulamaa sasa GADEM
 
Maxence Melo umepotea Sana ndugu yangu kwa kuwahukumu watu, wewe ni mfarisayo unayeona kibanzi Cha wenzako machoni mwao Wakati wewe Kuna boliti, acha magugu yakue pamoja na ngano, kwahiyo wakamalia na wanywa pombe hawafai kuwemo humu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…