GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Unaacha Kujadili Hoja ya Msingi unakimbilia katika Mambo binafsi ya Mtu. Miswahili sijui tupoje....Wewe unavyoshinda 24/7 Kunywa Gongo, Mataputapu na Wanzuki kuna Mtu huwa anakuzuia au hata Kukuingilia? Mnaboa..!!!Huyo meli mbona kama mtumiaji wa kvant
Nimepapenda sana hapa, hili linakwenda mbali zaidi, hata serikali inatakiwa kuwashirikisha sana wananchi wake katika kupanga mipango yake ili kuepuka usumbufu unaojitokeza kutokana na maamuzi mabovu ya baadhi ya viongozi wasiojitambua kama ilivyotokea Dar kwa maamuzi aliyotoa Amos MakalaAmeshauri Vyombo vya Habari kuwa na Mipango Shirikishi (wamiliki wawashirikishe wafanyakazi wao) katika kupanga hatma ya vyombo vyao ili kila mmoja awe sehemu ya safari kuliko mmiliki kuamini yeye anajua sana kuliko aliowaajiri.
Na anayejua Kukaa ( Kuishi ) vyema sana na Wafanyakazi wake huku akitawaliwa na Utu, Uungwana na Hekima nyingi.JF ina kiongozi imara
Leta picha ukiwa unakunywa Ili tuaminiJamani, sio mimi bali sera. Sio kuwa mimi nimeamua. Hata mi nakunywa mkuu wangu π
ndo tushashinda waleviJamani, hatuwezi kuzuia maoni ya wadau kuhusu masuala hayo. Ni advertising policy yetu inayotutaka kutoyapokea matangazo hayo
KajinyongeUnaacha Kujadili Hoja ya Msingi unakimbilia katika Mambo binafsi ya Mtu. Miswahili sijui tupoje....Wewe unavyoshinda 24/7 Kunywa Gongo, Mataputapu na Wanzuki kuna Mtu huwa anakuzuia au hata Kukuingilia? Mnaboa..!!!
Hopeless....!!!Kajinyonge
Huu Utafiti wako mbovu uliufanya wapi?Wanaochukia pombe mara nyingi wanapenda sana wanawake.
ScoundrelHopeless....!!!
Hata hajanijibuπππππππ
Niliufanyia Kwa Maksi.Huu Utafiti wako mbovu uliufanya wapi?