Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Yule anakulaza na viatuMayalla mzee wa karma,fursa,dili 😂😂
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule anakulaza na viatuMayalla mzee wa karma,fursa,dili 😂😂
Ova
Ila wee mtu jaman lolMungu ibariki JF , Japo Clouds 360 haukuwa uwanja mzuri wa kuyaongelea hayo , ni sawa na kwenda Lumumba kwa ajili ya kuzungumzia haki
[emoji23][emoji23][emoji23] kwani na wee muoga babuuh?Siku moja clouds watualike na sisi wanachama tufunguke. Ila tutaenda tumejifunika nyuso kama maninja...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hakutaja ule uzi wa kula tunda kimasihara.[emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jaman khaaaaah.Jamaa ana roho ngumu sn kutetea watu ambao huwafahamu, angekuwa Paschal Mayalla angetoa hayo majina mapema sn ndiyo maana alisalimu amri mapema akaingia CCM baada ya kubanwa
Dah hizi zana kila mtu anapofanya kazi yake ikaonekana kwa jamii halafu, wengine wanataka aingie kwenye siasa huwa ina nikera sana.sijawahi kumsikia huyu Mkurugenzi wa JF, kumbe ni mtu makini kiasi hicho!
ametema madini hatari!!!,
namshauri pia sio vibaya kama atatia nia mwaka 2025, kwani maarifa yake ni muhimu sana ktk kulisukuma taifa letu mbele.
Karibu sana mkuuIla wee mtu jaman lol
Yaan nimekaribia.Karibu sana mkuu
Ha ha aha aaa! Acha visa mkuu. Umenichekesha kweli, mkuu.Mungu ibariki JF , Japo Clouds 360 haukuwa uwanja mzuri wa kuyaongelea hayo , ni sawa na kwenda Lumumba kwa ajili ya kuzungumzia haki
karibu sanaHa ha aha aaa! Acha visa mkuu. Umenichekesha kweli, mkuu.
Upo ?Naunga mkono hoja.
P
Siku moja clouds watualike na sisi wanachama tufunguke. Ila tutaenda tumejifunika nyuso kama maninja...
Sawa mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jaman khaaaaah.
Tatizo ndugu yangu, uzoefu bongo ni kwamba wengi wa watu kama hao, ubadirika wakionjeshwa national cake....anyway keep it up Maxence and stay safe..Sijawahi kumsikia huyu Mkurugenzi wa JF, kumbe ni mtu makini kiasi hicho! Ametema madini hatari!!!,
namshauri pia sio vibaya kama atatia nia mwaka 2025, kwani maarifa yake ni muhimu sana ktk kulisukuma taifa letu mbele.