Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Mkurugenzi mtendaji wa JamiiForums amesema anashukuru sana kwa kuwa sasa ni mtu huru kutembea nje ya Dar-es-Salaam bila kizuizi chochote cha kisheria.
Awali alikuwa na zuio, ambalo lilikuwa linamtaka apate ruhusa maalumu ya kutoka nje ya Dar kutokana na kesi zilizokuwa zinaikabili JamiiForums ambazo zimeisha rasmi leo, Novemba 17, 2020.
Aidha amesema kauli ya Rais wa Tanzania ilionesha kuwa wanahabari wanakwenda kupata uhuru wa kufichua maovu mbalimbali lakini namna ya utekelezaji wa hilo ni shida kwa kuwawatu wataogopa kuwa huru kufichua uovu.
Amesema hayo kwa kuwa kosa lililomtia hatiani ni kutotoa taarifa ya mwanachama wa JamiiForums ambaye alifichuo uovu wa baadhi ya watendaji wa CRDB.
PIA SOMA:
https://www.jamiiforums.com/threads...otoa-ushirikiano-kwa-jeshi-la-polisi.1810712/
Awali alikuwa na zuio, ambalo lilikuwa linamtaka apate ruhusa maalumu ya kutoka nje ya Dar kutokana na kesi zilizokuwa zinaikabili JamiiForums ambazo zimeisha rasmi leo, Novemba 17, 2020.
Aidha amesema kauli ya Rais wa Tanzania ilionesha kuwa wanahabari wanakwenda kupata uhuru wa kufichua maovu mbalimbali lakini namna ya utekelezaji wa hilo ni shida kwa kuwawatu wataogopa kuwa huru kufichua uovu.
Amesema hayo kwa kuwa kosa lililomtia hatiani ni kutotoa taarifa ya mwanachama wa JamiiForums ambaye alifichuo uovu wa baadhi ya watendaji wa CRDB.
PIA SOMA:
https://www.jamiiforums.com/threads...otoa-ushirikiano-kwa-jeshi-la-polisi.1810712/