Kwa hiyo tubadili u bini wa Majaliwa?Kutokuaminika inamanisha wewe ni muongo.
Na ukisema Mwongo unamzungumzia Shetani.
Mwongo ndiye shetani au mtoto wa shetani. Shetani bila uongo haitwi shetani
Na huo ndio ukweli mchungu !!ππWangesema tu tangu awali aliko kiongozi huyo, nani angeleta habari tata?
Kwahiyo 'Fulani' ni shetani au mtoto wa shetani?Kutokuaminika inamanisha wewe ni muongo.
Na ukisema Mwongo unamzungumzia Shetani.
Mwongo ndiye shetani au mtoto wa shetani. Shetani bila uongo haitwi shetani
Kwa hiyo tubadili u bini wa Majaliwa?
Tuite Kasimu Shetani?
Hata mtu muoga haaminiki!
Ndio sababu Nchi nyingine Mwanasiasa asiyepitia Jeshini hudharauriwa mno!
Inahitaji akili ya mwendawazimu kumuamini kiswaswaduView attachment 2840103
Akizungumza East Africa Radio asubuhi hii, Disemba 12, 2023, Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums, Maxence Melo amesema Haki za wananchi zinazopatikana nje ya mtandao zinapaswa kutolewa pia ndani ya mtandao kwa kuwa ni haki za msingi zinazogusa maisha ya watu.
a haki ya kutokumwamini Waziri Mkuu, yaliwahi kutokea enzi za Uongozi wa Hayati Magufuli, mazingira ya wakati huo na sasa kwa kiasi fulani yalikuwa yanafanana.
Bumunda lishindwe kabisaMaxence Melo Mungu akutunze, najua hao uliowagusa huko waliko wanatafuta simu yako wakutishie, wakafie mbele hao waovu
Marekebisho kidogo Magufuri β Magufuli βTumwanini vipi PM na alishawahi kutudanganya kuhusu marehemu Magufuri?! Mazingira yanafanana na yaliyotokea juu ya VP.
Kiswaswadu ShetaniKwa hiyo tubadili u bini wa Majaliwa?
Tuite Ka-simu Shetani?
Sema unampenda wewe lakini mimi namuona Lissu kama mbabaishaji,mnafiki,ndumila kuwili ,muongo,msaliti,mwenye mihemuko,mkurupukaji ,asiye na adabu wala staha wala hekima wala chujio la ulimi wake na mengine mengi tu. Unakumbuka namna Lissu alivyokuwa akimtukana mh Lowassa kwa miaka nane mfululizo? Vipi ilipofika 2015? Lissu alisema nini tena kuhusu huyo huyo mh Lowassa? Sasa unaanzia wapi kumpenda au kumuamini mtu kama Lissu?Hakunaga kitu kibaya hapa duniani kama Kutoaminika
Watu wanampenda Tundu Antipas Lisu kwa sababu anaamika, hilo tu!
Tatizo lenu wengi humu Jf Siasa mmekutana nazo mkiwa na NJAASema unampenda wewe lakini mimi namuona Lissu kama mbabaishaji,mnafiki,ndumila kuwili ,muongo,msaliti,mwenye mihemuko,mkurupukaji ,asiye na adabu wala staha wala hekima wala chujio la ulimi wake na mengine mengi tu. Unakumbuka namna Lissu alivyokuwa akimtukana mh Lowassa kwa miaka nane mfululizo? Vipi ilipofika 2015? Lissu alisema nini tena kuhusu huyo huyo mh Lowassa? Sasa unaanzia wapi kumpenda au kumuamini mtu kama Lissu?
Mimi namuona Lissu kama mtu asiye faa kuongoza watu wenye akili Timamu na wanaojitambua.saiz yake ni huko huko CHADEMA wanakofanana akili na kuwa nawatu wengi dizaini ya akina Mdude Nyagali watukanaji na wanuka matusi Utafikiri wameopolewa kwenye shimo la choo.
Alieleweka vipi kwa CHADEMA na akina Lissu ? Mbona waliendelea kumshambulia kwa mashambulizi yenye matusi ndani yake?Tatizo lenu wengi humu Jf Siasa mmekutana nazo mkiwa na NJAA
Lowassa alishambuliwa kweli lakini baada ya kujiuzulu uPM akajieleza na akaeleweka kiasi cha 2015 kupata 40% ya kura
Unapoona NEC imempa alama 40 ujue alishinda maana hiyo ni Pure haina wizi ndani yake π