Maxence Melo: Watanzania wana haki ya kutokuamini taarifa iliyotolewa na Waziri Mkuu kuhusu alipokuwa Makamu wa Rais

Lile bumunda halina akili tumbo limejaa minyoo tu
 
Huyu ndiyo wale waliozaliwa kwenye mikesha ya mwenge, mama kalewa mataputapu kaliwa mtungo hata hamjui baba yake halisi.
 
Serikali Ya Kuficha Hata Ukweli Ukisemwa
 
Kwa nini umuamini waziri Mkuu ambae anaficha hata mvi zake kwa kupaka super black ili isionekane hata mvi moja ilihali ana miaka 63. Dunia nzima tafuta kiongozi mwenye umri wake ambae hata mvi moja tuone kama utampata. Mzee muongo muongo sana!!
Nashangaa sana kwa kweli....anapaka kanta ili iweje...white hair is a blessing kwamba Mungu amekupa umri, umeishi mpaka kufika hapo...!

Mwingine ni mwenyekiti bwana Freeman, naye anaweka kanta kichwani...!
 
Nashangaa sana kwa kweli....anapaka kanta ili iweje...white hair is a blessing kwamba Mungu amekupa umri, umeishi mpaka kufika hapo...!

Mwingine ni mwenyekiti bwana Freeman, naye anaweka kanta kichwani...!
Kichwa Cha Lowasa na Mbowe vyote vina mvi nyingi nyeupe na sura zao ndefu zinafanana na nywele na sura ya Nyerere
Kuna uvumi.mitaani kuwa Lowasa na Mbowe ni watoto wa nje wa kuzaa wa Nyerere je ni kweli?
 
I wish everytime Kasimu akifungua mdomo tumkumbushe...wewe hatukuamini kwa ule uongo wako.

Mbaya zaidi alisema uongo akiwa kwenye mimbari ya msikiti huko njombe...hatuwezi kusahau hilo!
 
Mpango safari hii wakikutuma tena kwenye kazi maalum HAURUDI TENA.
bora useme walikupeleka wapi unaweza ukasaidiwa
 
Katika hatua nyingine, amebainisha kuwa kwenye matukio muhimu yanayohusisha viongozi wa kitaifa taarifa sahihi zinapaswa kutolewa. Kama kuna uzushi taarifa sahihi zitolewe kuondoa uzushi huo maana kukaa kimya huendeleza kusambaa kwa uzushi.
🪠🔨💉
 
Kichwa Cha Lowasa na Mbowe vyote vina mvi nyingi nyeupe na sura zao ndefu zinafanana na nywele na sura ya Nyerere
Kuna uvumi.mitaani kuwa Lowasa na Mbowe ni watoto wa nje wa kuzaa wa Nyerere je ni kweli?
Na wewe ni mtoto wa nje ya ndoa wa Wasira maana sura hiyo hakuna haja ya DNA. Mkienda Jamhuri ya Gombe hamhitaji visa
 
Siyo kila kitu cha kusemwa hadharani nyie mabwege
Wakati late Nyerere alipopelekwa St Thomas tuliambiwa, late Mkapa alipoenda kufanyiwa operation ya hip huko Switzerland tuliambiwa na JK alipoenda US kufanya operation ya tezi dume pia tuliambiwa!

Ujinga wa watawala wa awamu ya 5/6 ni kudhani wao ni immortals...we are all humans with different responsibilities tu kwenye jamii, wao kama watawala na wengine kama raia wa kawaida!

There is no shame kwa binadamu kuumwa, hiyo ndiyo nature!
 
sio Lazima serikali kuweka wazi kila jambo hata kama ni haki ya wananchi kufahamu.

Labda iwe serikali legelege...

Kwa serikali Makini na madhubuti ikishahibitisha na kujiridhisha kwamba kuna sababu muhimu za kiusalama kwa jambo fulani kutowekwa wazi, haitaweka wazi kamwe.....
 
Kumtembelea haiondoi tabia yake Lissu ya asili ambayo ni ukurupukaji,uongo, unafiki,kupayuka,mihemuko,ukigeugeu,undumila kuwili,n.k. Rais samia alikwenda kumtembelea na siyo kubadilisha hulka yake.
Una kila dalili za kumchukia tu TAL au kwa kifupi tuseme una roho mbaya tu 😂 dhidi yake binafsi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…