kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Mecky maxime na fred felex ni wanazi wa yanga siku zote huwa wanagawa point za bure kuisadia yanga tutegemee magoli ya mchongo na mikono muda mfupi toka sasa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila mara unapigwa kipara je akili utaipatia wapi?Mecky maxime na fred felex ni wanazi wa yanga siku zote huwa wanagawa point za bure kuisadia yanga tutegemee magoli ya mchongo na mikono muda mfupi toka sasa!
Ahsante kwa uwepo wako mama saidi!Kila mara unapigwa kipara je akili utaipatia wapi?
Na Simba viongozi wake je?? Maana akifungwa mwingine sababu ushabiki ila Simba ikifungwa je?Mecky maxime na fred felex ni wanazi wa yanga siku zote huwa wanagawa point za bure kuisadia yanga tutegemee magoli ya mchongo na mikono muda mfupi toka sasa!
Hakika kabisa juzi mkono leo penati ya mchongo!
Yes penati za mchongo!Na Simba viongozi wake je?? Maana akifungwa mwingine sababu ushabiki ila Simba ikifungwa je?
Kila timu ifutiwe penati walizopata je timu yako ya Simba inabakiwa na point ngapi?Hakika kabisa juzi mkono leo penati ya mchongo!
Zifutwe za mchongo kuanzia leo na magoli ya mkono!Kila timu ifutiwe penati walizopata je timu yako ya Simba inabakiwa na point ngapi?
Mbumbumbu mna shida kubwa sana vichwani mwenu,,Kila timu itayocheza na yanga kwa sasa itakuwa ni mwanachama wa YANGA maana vipigo ndio vimeanza ,,na mmeanza kubweka wakati ndio kwanza koki zimefunguliwa,,Mecky maxime na fred felex ni wanazi wa yanga siku zote huwa wanagawa point za bure kuisadia yanga tutegemee magoli ya mchongo na mikono muda mfupi toka sasa!
Vipi kumbe unasema!Mbumbumbu mna shida kubwa sana vichwani mwenu,,Kila timu itayocheza na yanga kwa sasa itakuwa ni mwanachama wa YANGA maana vipigo ndio vimeanza ,,na mmeanza kubweka wakati ndio kwanza koki zimefunguliwa,,
Msiwe na haraka zamu yenu itafikaHakika kabisa juzi mkono leo penati ya mchongo!
Kufanyaje refa hatokuwa kayoko!Msiwe na haraka zamu yenu itafika
Magumashi!
Kijili ni kocha wa timu gani?Kijili nae Yanga
Kabisaaa!