Maxime na minziro ni yanga lia lia tutegemee magoli ya mchongo na mechi mbovu kabisa

Maxime na minziro ni yanga lia lia tutegemee magoli ya mchongo na mechi mbovu kabisa

Mecky maxime na fred felex ni wanazi wa yanga siku zote huwa wanagawa point za bure kuisadia yanga tutegemee magoli ya mchongo na mikono muda mfupi toka sasa!
Kila mara unapigwa kipara je akili utaipatia wapi?
 
Mecky maxime na fred felex ni wanazi wa yanga siku zote huwa wanagawa point za bure kuisadia yanga tutegemee magoli ya mchongo na mikono muda mfupi toka sasa!
Na Simba viongozi wake je?? Maana akifungwa mwingine sababu ushabiki ila Simba ikifungwa je?
 
Mecky maxime na fred felex ni wanazi wa yanga siku zote huwa wanagawa point za bure kuisadia yanga tutegemee magoli ya mchongo na mikono muda mfupi toka sasa!
Mbumbumbu mna shida kubwa sana vichwani mwenu,,Kila timu itayocheza na yanga kwa sasa itakuwa ni mwanachama wa YANGA maana vipigo ndio vimeanza ,,na mmeanza kubweka wakati ndio kwanza koki zimefunguliwa,,
 
Mbumbumbu mna shida kubwa sana vichwani mwenu,,Kila timu itayocheza na yanga kwa sasa itakuwa ni mwanachama wa YANGA maana vipigo ndio vimeanza ,,na mmeanza kubweka wakati ndio kwanza koki zimefunguliwa,,
Vipi kumbe unasema!
 
hata juma mgunda ni mwananchi lialia😂
 
Back
Top Bottom