An example to be emulated by Tanzanian Coaches.
Unamkumbuka kwa jema lipi ambalo linapaswa kuendelezwa au kwa baya lipi ambalo halitakiwi kurudiwa tena?
Ni Maximo huyuhuyu aliyeifanya Stars ifuatiliwe na Watanzania na kuinua Uzalendo,maana angekuwa Kayuni wala tusingefikia hatua hiyo!
well wabongo wameifuatilia lakini je hiyo Stars imefanya lipi?
Na huyo mchoma chapati wa Brazil atajivunia katufanyia na katuachia kikombe gani au ngao gani?
Aende zake huko.
Huyu kocha mpya amesimamia mechi ngapi na Maximo alikaa muda gani? Kaseja bado ni best goalie TZ, Pepe Reina alifungwa la kizembe na Chamakh, na yule ni kipa wa kimataifa na yupo PL; unakumbuka Seaman na goli la Ronaldinho? Unakumbuka goli la kijinga la Petr Czec? Umesahau goli la kipa wa England thidi ya USA (SA 2010)? Unamkumbuka yule Taibi wa Man Utd alivyofungwa goli la mita 45 mechi ya kwanza akiwa Man Utd? Kama uliangalia mechi utagundua tatizo aliloliacha Maximo bado lipo...kuna kipindi timu inacheza mpira, inakaba (kwa sytem ya kukamia) lakini hatuna "UFUNDI" wa kupenetrate na kumalizia!! Huyu kocha mimi naomba apewe muda, tusianze kutafutana uchawi asubuhi! Ukweli ni kwamba vipaji vya kweli siku hizi vimefichika....tunahitaji wachezaji wenye killing instincts wakiwa golini......Tunajitaji type zile za kina Mogella (Golden Boy), Malota Soma (Ball Juggler), Makumbi Juma, Omary Hussein, Hamis Gaga, Athuman China, Ntenze John etc....
Vuta subira
naweza tajiwa timu yoyote iliyocheza mataifa huru bila kuwa na wachezaji wanaocheza ulaya!
Malawi CAN 2010
all that i am saying marximo was treated unfairly considering alipotukuta na alipotuacha, kwa mfano tulitaka maximo afanye nini zaidi, wachezaji hamna hata mmoja anayecheza ligi kubwa duniani alafu mnataka twende caf, naweza tajiwa timu yoyote iliyocheza mataifa huru bila kuwa na wachezaji wanaocheza ulaya sasa tulitaka maximo afanye miujiza kwa mitumba tuliyonayo, wachezaji hata africa hawana sifa then tunataka twende caf, chan was the best we could get and its gonna still be that way for quite some time mpaka tuki get rid na wachezaji kizazi hichi ambacho maximo alijitaidi kukiondoa ila wasiojua soka wachache wakawa wanamuona kakosea kwa mfano utovu wa nidhamu wa chuji nani asiyeujua, utovu wa nidhamu wa boban nani asiyeujua, mapaka alipoenda ulaya na kufanya yake madudu ndio muamini, kaseja kafanya nini ktk soka la africa hadi aonekane kua irreprecable? he got no statue, no technic, fitina tu! nasisitiza tena kua tutamkumbuka maximo!
ni Russell Mwafulirwa na Boxer Kanyenda wanaocheza ulaya,sasa hawa wanaocheza South Africa tusiseme ulaya,au ndio ulaya ndogo,au labda alieuliza alimaanisha wanaocheza palepale Malawi?sijuiacha uongo wewe,
1. Russell Mwafulirwa (born 24 February 1983 in Zomba) is a Malawian football (soccer) player who currently plays for IFK Norrköping in sweden.
2. Chiukepo Msowoya (born September 23, 1988) is a Malawian footballer, who currently plays for Orlando Pirates in the South African Premier Soccer League
3.Esau Boxer Kanyenda (born September 27, 1982 in Dedza, Malawi) is a Malawian football (soccer) striker, he is a football striker for Russia's First Division FC Rotor Volgograd.
4. Robert Ng'ambi (born September 11, 1986) is a Malawian football (soccer) player who currently plays for Black Leopards in South Africa. His position is midfielder.
5.Chiukepo Msowoya (born September 23, 1988) is a Malawian footballer, who currently plays for Orlando Pirates in the South African Premier Soccer League
Unamkumbuka kwa jema lipi ambalo linapaswa kuendelezwa au kwa baya lipi ambalo halitakiwi kurudiwa tena?