Maximo.......je unamkumbuka kwa lipi?

Maximo.......je unamkumbuka kwa lipi?

[/COLOR]

Ujerumani kwenye world cup south africa iliundwa na wachezaji wanaocheza ligi za ndani karibu wote, mbona walifanya vyema, Maximo alifanya mambo madogo sana ukilinganisha na support aliyoipata toka kwa wadau mbalimbali tulistahili kuwa mbali zaidi kama angekuwa ni kocha bora wa kiwango-kama ni kukumbukwa labda utamkumbuka wewe na wenzio wachache-hana jipya and thanks God its a good riddance!

Watu wengine bwana asa una fananisha ligi ya ujerumani hii ya kwetu? hii mbayo ukitaka kushinda unawapa rushwa wachezaji au unanunua marefaa? kamuulize dewij atakuambia kwanini ameamua kupiga chini african lyon?
 
Nchi yetu kwa kweli soka bado kwa mtaji huu hata aje Vicente,Mourinho,Fergie na Wenger,na hii inatokana ni miundo mbinu mibovu,labda tumpe kazi Mchungaji Masanilo :biggrin1: awafundishe komunikesheni skili wachezaji wetu wawapo uwanjani maana mechi yao vs Morocco wamecheza mpira wa kibinafsi sana na sio kitimu.
 
Back
Top Bottom