Mayahudi waambiwe ukweli tu,Kama wana uchungu wa mababu zao kuuliwa na Hitler, basi kama ni sahihi hasira zao wakazitolee kwa wajerumani.

Mayahudi waambiwe ukweli tu,Kama wana uchungu wa mababu zao kuuliwa na Hitler, basi kama ni sahihi hasira zao wakazitolee kwa wajerumani.

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Wapalestina wote hawakuhusika na chochote katika madhila ya mayahudi kule Ujerumani,
Watoto na wagonjwa wanaouliwa kwa makombora kila siku kwa kweli hawakuwepo muda huo na hata hao askari wa IDF nao pia wengi wao wanasoma historia tu sawa na wenzao wa Palestina.
Sasa chuki za kijinga na kishetani ni za nini ?,
 
The world is unfair. Ipo siku wenye haki watapata haki yao.
 
Wakuna wayaudi Israel wale wote ni mashoga ya kizungu,haiwezekani ukanda ule wote una watu jamii ya kiarabu halafu katikati yao kuwepo wazungu wajiite waisrael kwa nini wasinge fanana na watu wa ukanda huo???
 
Wakuna wayaudi Israel wale wote ni mashoga ya kizungu,haiwezekani ukanda ule wote una watu jamii ya kiarabu halafu katikati yao kuwepo wazungu wajiite waisrael kwa nini wasinge fanana na watu wa ukanda huo???
1000176244.jpg
 
Wakuna wayaudi Israel wale wote ni mashoga ya kizungu,haiwezekani ukanda ule wote una watu jamii ya kiarabu halafu katikati yao kuwepo wazungu wajiite waisrael kwa nini wasinge fanana na watu wa ukanda huo???
Umefika ukawaona mkuu au unasikiliza hadith za madrassa
 
Umefika ukawaona mkuu au unasikiliza hadith za madrassa
Halafu nenda tena kafanye utafiti, hakunaga mwalimu wa madrasa walau form 4 or 6, wote ni ex standard 7; utegemee kupata kitu cha maana kutoka hapo kweli?
 
Wapalestina wote hawakuhusika na chochote katika madhila ya mayahudi kule Ujerumani,
Watoto na wagonjwa wanaouliwa kwa makombora kila siku kwa kweli hawakuwepo muda huo na hata hao askari wa IDF nao pia wengi wao wanasoma historia tu sawa na wenzao wa Palestina.
Sasa chuki za kijinga na kishetani ni za nini ?,
Alla ndiye aliyeanzisha chuki na mayahudi bila kujua yao ni israel mtoa roho,na mlivyo wajinga mkaridhi adui,sasa kuweni wapole alla na mudi waliwaponza.
 
Wakuna wayaudi Israel wale wote ni mashoga ya kizungu,haiwezekani ukanda ule wote una watu jamii ya kiarabu halafu katikati yao kuwepo wazungu wajiite waisrael kwa nini wasinge fanana na watu wa ukanda huo???
Leo hii mashoga yanaua wanaume marijali.😅😅,kobazi na uwezi wa kufikiri ni mbingu na ardhi.
 
Baba yako ana elimu gani?
Hafundishi madrasa kaka and hence this is out of the topic. Tunazungunzia sifa za mwalimu, mwalimu ambaye tunategemea auondoe ujinga vichwani mwa wanafunzi wake. Darasa la 7 hawezi kuijua dunia katika mapana yake, ataishia kuleta story za vijiweni tu
 
Mnazunguka zunguka san wakati jibu moja tu, Hamas waambiwe waache kuchokaza Wayahudi! Wale ni zaidi ya nguvu inayoonekana
 
Wapalestina wote hawakuhusika na chochote katika madhila ya mayahudi kule Ujerumani,
Watoto na wagonjwa wanaouliwa kwa makombora kila siku kwa kweli hawakuwepo muda huo na hata hao askari wa IDF nao pia wengi wao wanasoma historia tu sawa na wenzao wa Palestina.
Sasa chuki za kijinga na kishetani ni za nini ?,
Mkuu umeleta HOJA Very low IQ..

Kuna sana mafuta ya Samaki akili zako ziongezeke na kukomaa... unaweza ukawa msomaji wa comment tu.. maana uharo wako unanuka vibaya
 
Freemasons and Illuminatis, people has no value
 
Back
Top Bottom