Mayai kucheza tumboni kwa mwanamke

Mayai kucheza tumboni kwa mwanamke

CharmingLady

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2012
Posts
18,296
Reaction score
12,972
Habari zenu binafsi wana JF Doctor..

Awali ya yote napenda kuwapongeza na kuwashukuru wale wote wanaotoa ushauri wa kitaalamu bila malipo Mwenyezi Mungu awabariki.

Kuna tetesi kwamba mayai ya mwanamke huwa yanacheza cheza tumboni hasa wakati ambapo mama amechelewa kupata mtoto. "Long interval" kati ya uzazi mmoja na mwingine. (sijui ndo huitwa nzao moja baada ya nyingine... mnaweza kunisahihisha).

Wataalamu wa afya je ni kweli??

- Kama ni kweli ni nini husababisha hiyo. hali??

- Kama si kweli ni nino huwa kinacheza maeneo ya kinena????

Wapi Dr. Riwa, Dr. my mum measkron, Dr. MziziMkavu naomba busara zenyu.......

Wabheja saaaaana!!!!!!!!

Humbled.....

CL
 
Last edited by a moderator:
Mayai kucheza...mmmh!

Ngoja wenzangu watangulie, maana naona hili lilinipita darasani. Ila mayai ya mwanamke hutuzwa kwenye Ovary yakiwa bado hayajapevuka, kila mwezi hupevuka yai moja (mara chache zaidi ya moja) na hilo hutolewa ili lirutubishwe. Mwanamke ana Ovaries mbili kushoto na kulia mwa kizazi, kwa kawaida kwenye eneo la kinena kuna kizazi na kibofu cha mkojo.

Sasa sijui kinachocheza cheza ni kipi kati ya hivyo viwili, lakini Ovaries zipo pembeni mwa kinena pande zote mbili!
 
Mayai kucheza...mmmh! ngoja wenzangu watangulie, maana naona hili lilinipita darasani. Ila mayai ya mwanamke hutuzwa kwenye Ovary yakiwa bado hayajapevuka, kila mwezi hupevuka yai moja (mara chache zaidi ya moja) na hilo hutolewa ili lirutubishwe. Mwanamke ana Ovaries mbili..kushoto na kulia mwa kizazi, kwa kawaida kwenye eneo la kinena kuna kizazi na kibofu cha mkojo..sasa sijui kinachocheza cheza ni kipi kati ya hivyo viwili, lakini Ovaries zipo pembeni mwa kinena pande zote mbili!

Asante mkuu.... Je kuna madhara gani mama akimaliza zaid ya 10yrs bila kupata mtoto tangu uzazi ulipita??
 
Mayai kucheza? Kwangu sijayahisi bado. Ngoja madaktari waje kutupa msaada.....

Ila sidhani kama kuna madhara mtu akikaa kipindi kirefu bila kuzaa, unless tu labda kaumri kawe kamesogea ndio mtu anaweza kupata zile complications za uzazi wa utu uzimani. Mara sijui blood clots kwenye miguu....etc etc...Ngoja waje madokta mwaya, siye tuna fambo fambo tu...
 
Mkuu ZeMarcopolo hebu mpitie dada King'asti mkuje pande hizi.....

Charming, swali lako liko very interesting, hasa kwa ajili ya lugha uliyotumia- kucheza.

Literaturally mayai huwa hayachezi ila nadhani unachouliza ni kufeel their presence especially ukiwa kwenye movement. The fact ni kwamba mayai yanamove continuously, lakini kwa vile mayai ni microscopic structure basi huwezi kusikia movements zake. Kusikia kitu kwenye kinena kunaweza kumaanisha uwepo wa uvimbe. Inahitajika ultrasound kuangalia what is going on. Kumbuka pia kuwa immediatetely nyuma ya kinena kilichopo ni kibofu cha mkojo kwa hiyo microbiology and biochemical test ya mkojo may be relevant.

Kupitisha miaka kumi baada ya mtoto wa kwanza hakuna tatizo kwa ujauzito ila wakati wa kujifungua unakuwa ni sawa au almost sawa na yule anayezaa mara ya kwanza.
 
mayai kucheza ..!!? hapana...ila tu mwanamke akikaa muda mrefu bila kuzaa... anakuwa kwenye risk ya kupata -fibroid(uvimbe kwenye kizazi)
 
mayai kucheza ..!!? hapana...ila tu mwanamke akikaa muda mrefu bila kuzaa... anakuwa kwenye risk ya kupata -fibroid(uvimbe kwenye kizazi)
ngoja nizae aisee...mficha uzi hazai eti
 
ngoja nizae aisee...mficha uzi hazai eti
....Yap smile kuanzia atleast 26 to 35 yrs unatakiwa ufanye mambo hapo(ukicheki maisha ya sasa)...lakini pia risk maranyingi inaonekana kwa wale ambao anazaa motto alafu anakaa muda mrefu(lets says) 10 yrs bila kuzaa tene....though siku hizi natural history ya fibroid imebadilika...tunaona hata mabint wadogo wanaanza kupata...(though still rare cases)
 
....Yap smile kuanzia atleast 26 to 35 yrs unatakiwa ufanye mambo hapo(ukicheki maisha ya sasa)...lakini pia risk maranyingi inaonekana kwa wale ambao anazaa motto alafu anakaa muda mrefu(lets says) 10 yrs bila kuzaa tene....though siku hizi natural history ya fibroid imebadilika...tunaona hata mabint wadogo wanaanza kupata...(though still rare cases)
i promise next year mwezi kama huu nitakuwa mjamzito kakangu...maisha tu
 
i promise next year mwezi kama huu nitakuwa mjamzito kakangu...maisha tu
....yah smile ndo maana nkasema maisha ya sasa...yamekaa kimtego mtego sana...ila mipangilio tu..
 
bora uwe na mtoto kuliko mume aisee
.....wewe smile wewe bana....unatakiwa ujitahidi kujenga famila ..(mtoto/ watoto/ mume na wewe) au unaogopa majukumu ya ndoa...!?kuwa na famila nayo inafaida zake nyingi sana...
 
.....wewe smile wewe bana....unatakiwa ujitahidi kujenga famila ..(mtoto/ watoto/ mume na wewe) au unaogopa majukumu ya ndoa...!?kuwa na famila nayo inafaida zake nyingi sana...
mume sijui kama nitaweza ..sijaona mwenye kunifaa...ila wa kuwa baba mtoto nawaona...
 
Asante mkuu.... Je kuna madhara gani mama akimaliza zaid ya 10yrs bila kupata mtoto tangu uzazi ulipita??

Hakuna madhara yoyote..ila itakuwa inaashiria tatizo kama anatafuta mtoto na akamaliza zaidi ya miaka 10 bila kupata!
 
sasa dr hayo mayai (ova) hadi yacheze yasikike yamekuwa ya bata ama ya kenge? Hili somo walimu walikuwa kwenye mgomo nahisi hahaha.

But nimeshakutana na case moja mtu alikuwa na fibroid. The pounding pain ilichukuliwa kama 'kudunda'? Na huyu anaongelea interval kati ya mtoto mmoja na mwingine. Nadhani inaweza kuwa fibroids?
Mayai kucheza...mmmh! ngoja wenzangu watangulie, maana naona hili lilinipita darasani. Ila mayai ya mwanamke hutuzwa kwenye Ovary yakiwa bado hayajapevuka, kila mwezi hupevuka yai moja (mara chache zaidi ya moja) na hilo hutolewa ili lirutubishwe. Mwanamke ana Ovaries mbili..kushoto na kulia mwa kizazi, kwa kawaida kwenye eneo la kinena kuna kizazi na kibofu cha mkojo..sasa sijui kinachocheza cheza ni kipi kati ya hivyo viwili, lakini Ovaries zipo pembeni mwa kinena pande zote mbili!

inabidi uje na kuku 3 wa kienyeji, chapati 6, ndimu 4 na pilipili mbuzi 4. Usisahau kamtungi ka gesi na viazi 4 vyekundu kwa kinga ya baadae. Kiti atakupa majibu
Mkuu ZeMarcopolo hebu mpitie dada King'asti mkuje pande hizi.....
 
But nimeshakutana na case moja mtu alikuwa na fibroid. The pounding pain ilichukuliwa kama 'kudunda'? Na huyu anaongelea interval kati ya mtoto mmoja na mwingine. Nadhani inaweza kuwa fibroids?

Fibroids kiasi cha kusikia inacheza angeshapata na dalili nyingine pia, labda kama ni 'Pedunculated Myoma' inakuwa na kama stalk hivi imeshikilia hiyo Fibroid inayocheza..all in all, its a strange phenomenon. lakini binadamu tuna namna tofauti ya kueleza jinsi unapojisikia, inaweza hicho unachosema kinacheza, ni different feeling kabisa na kitu kinachocheza.
 
Daaah....Watu na fani zao, naomba tu msinicheke huenda nashindwa jinsi ya kuipresent kitaalamu... Ila Dr.Mo na King'asti mbona mnanitisha. Ina maana kama sina mpango wa kusaka baby sasa nitapata fibroids???????
 
Last edited by a moderator:
mume sijui kama nitaweza ..sijaona mwenye kunifaa...ila wa kuwa baba mtoto nawaona...
...sema labda wewe utakuwa umeweka vigezo vikubwa...au social cycle(niche) kwenye maisha yako inakuogopesha...mimi naona kuna watu wengi sana wapo...ukiwa makini wapo....kama mm kuna kipindi nlikuwa na social cycle ambayo sio nzuri...nikawa najiuliza ntapata mwanamke wa kuoa kweli......lakni sasa hivi naona tofauti sana...naona wapo wengi tu ...ni kutulia na kujipanga.....usizae watoto hivi hivi bila familia bana...
 
Back
Top Bottom