Mayai kucheza tumboni kwa mwanamke

Mayai kucheza tumboni kwa mwanamke

Fibroids kiasi cha kusikia inacheza angeshapata na dalili nyingine pia, labda kama ni 'Pedunculated Myoma' inakuwa na kama stalk hivi imeshikilia hiyo Fibroid inayocheza..all in all, its a strange phenomenon. lakini binadamu tuna namna tofauti ya kueleza jinsi unapojisikia, inaweza hicho unachosema kinacheza, ni different feeling kabisa na kitu kinachocheza.

Duh... Dr. Riwa kiukweli mie sihisi maumivu ya aina yoyote isipokuwa kama nilivyoeleza hapo juu "locally". Dalili za Fibroids ni zipi?????
 
Last edited by a moderator:
...sema labda wewe utakuwa umeweka vigezo vikubwa...au social cycle(niche) kwenye maisha yako inakuogopesha...mimi naona kuna watu wengi sana wapo...ukiwa makini wapo....kama mm kuna kipindi nlikuwa na social cycle ambayo sio nzuri...nikawa najiuliza ntapata mwanamke wa kuoa kweli......lakni sasa hivi naona tofauti sana...naona wapo wengi tu ...ni kutulia na kujipanga.....usizae watoto hivi hivi bila familia bana...
wanaokutaka huwapendi....ujue mi sitaki kuolewa tu ilimradi...ningeshaolewa ...yaani dah very complicated...hvi unaweza kumpenda mtu kwenye ndoa...sitaki kuja kujuta aisee
 
Daaah....Watu na fani zao, naomba tu msinicheke huenda nashindwa jinsi ya kuipresent kitaalamu... Ila Dr.Mo na King'asti mbona mnanitisha. Ina maana kama sina mpango wa kusaka baby sasa nitapata fibroids???????[/QUOTE.......................sio kwamba utapata as rule of thumb kwamba usipozaa utapata hapana lakini study nyingi zinaonesha fibroid inatokea kwenye middle and late reproductive years na incidence ni kubwa kwa wanawake ambao hawajapata watoto (hawjaza) au wenye few tearm pregnancy(walioza mara chache- hasa mara moja then inapita kipindi kirefu)...other risk factor ni cigarate smooking nk.......lakini some study pia zinaonesha ORAL CONTRACEPTIVE DRUGS zinasaidia kupungiza incidence ya fibroids
 
wanaokutaka huwapendi....ujue mi sitaki kuolewa tu ilimradi...ningeshaolewa ...yaani dah very complicated...hvi unaweza kumpenda mtu kwenye ndoa...sitaki kuja kujuta aisee
.....exclude other factors ..ila kweli kama mtu humpeni alafu yeye anakupenda kutegemea kuja kumpenda kwenye ndoa inaweza kuwa ngumu sana...na ni hatari ndoa ikaja kuwa complicated(ya mateso)....na hii issue ya kuwa na social cycle kwenye maisha ya watu ambao moyo hauwakubali inasumbua sana lakini smile wakati mwingine unalegeza vigezo kidogo ....ili mradi isiwe nje sana ya mstari..
 
Mayai kucheza...mmmh! ngoja wenzangu watangulie, maana naona hili lilinipita darasani. Ila mayai ya mwanamke hutuzwa kwenye Ovary yakiwa bado hayajapevuka, kila mwezi hupevuka yai moja (mara chache zaidi ya moja) na hilo hutolewa ili lirutubishwe. Mwanamke ana Ovaries mbili..kushoto na kulia mwa kizazi, kwa kawaida kwenye eneo la kinena kuna kizazi na kibofu cha mkojo..sasa sijui kinachocheza cheza ni kipi kati ya hivyo viwili, lakini Ovaries zipo pembeni mwa kinena pande zote mbili!

Mkuu Riwa umenena vyema natumaini muuliza swali charminglady ameelewa
 
Last edited by a moderator:
.....exclude other factors ..ila kweli kama mtu humpeni alafu yeye anakupenda kutegemea kuja kumpenda kwenye ndoa inaweza kuwa ngumu sana...na ni hatari ndoa ikaja kuwa complicated(ya mateso)....na hii issue ya kuwa na social cycle kwenye maisha ya watu ambao moyo hauwakubali inasumbua sana lakini smile wakati mwingine unalegeza vigezo kidogo ....ili mradi isiwe nje sana ya mstari..
sio rahisi ivo kaka tumuachie tu mungu
 
Dr. Riwa huwa nasikia kuweka interval kubwa kama miaka 10 ya mimba huwa inasababisha nyonga kuuma nimepata experience kwa watu watatu m6ja jirani yangu na dada yangu na mwingine tulikutana labour yani hadi unamwonea huruma anavyohangaika kaambiwa nyonga zimebana alipitisha miaka kumi na moja
 
Last edited by a moderator:
Dr. Riwa huwa nasikia kuweka interval kubwa kama miaka 10 ya mimba huwa inasababisha nyonga kuuma nimepata experience kwa watu watatu m6ja jirani yangu na dada yangu na mwingine tulikutana labour yani hadi unamwonea huruma anavyohangaika kaambiwa nyonga zimebana alipitisha miaka kumi na moja

Mh... naogopa uwiiiiiii, basi.ngoja nisizae tena!
 
Last edited by a moderator:
yanacheza rege, gwaride, rede, kombolela, bamping..vitu vinavyocheza havijagandamana ipasavyo..sielewiiii etyi?
 
Back
Top Bottom