Mkuu wewe ndo umechqnganya majukwaaMkuu hii mada ungeiweka jukwaa la hoja mchanganyiko, sasa huku kwenye mapenzi na kuku wa mayai unakua unavuruga mambo mheshimiwa. Ila subiri utapata msaada
hata kuku wa kienyeji anaweza taga bila jogoo ila yai lake haliwezi kuwa na kifaranga ndani hata alalie miezi,kwa logic hiyo pia kuku wa mayai ikiwa walichanganywa Na jogoo kwa uwiano unaotakiwa,yai likitotoleshwa litakuwa na kifarangaNdo nahitaji msaada hapo.. Hayo mayai ni yapi...? Ukiacha haya ya kawaida tuliozoea ya kienyeji...???