Mayai ni chaguo zuri, ila mwachezi Malinzi amalizie aliyoyaanza

Mayai ni chaguo zuri, ila mwachezi Malinzi amalizie aliyoyaanza

Umejipambanua vizuri kwamba ni mshabiki wa huyo Malinzi..
Nadhani tukumbuke na haya kabla ya kukubaliana na wewe;
1.Kuhamisha ofisi ya TFF kuzipeleka alipokuwa anahisi atapiga Tshs .Hasara hapa
2.Kufukuza kocha Kim alafu kutuletea kocha wake na kumrudisha Kim kiaina..hasara hapa..
3.Wote tunakumbuka taifa starz maboresho..Hasara hapa..
4.Nani asiyejua madudu ya ligi daraja la kwanza na mlolongo wa tuhuma za rushwa.
5.Uozo wa ligi kuu..ratiba hovyohovyo
6.Soka ya vijana imebaki maandishi tu..wamejaribu kufanya bonanza wakati huu wa kuelekea uchaguzi..
7.Rais huyu hata wanaofanya naye kazi wanasema hashauriki.
8.Rais ana vyeo viwili
9.Rushwa..hasa kwenye ligi zote
10.Taifa starz viwango kila mmoja anajua tulipo.
Tunamshukuru kwa mema aliyofanya ni wakati wa kupisha watu wengine
Kuifanya TFF kuwa hovyo kabisa.
 
Uchaguzi TFF unakaribia.

Ally Mayai Tembele na Jamal Malinzi wanaonekana washindani wenye nguvu zaidi wa nafasi ya Urais.

Ila napenda turudi nyuma,twende mbele. Miaka 4 haijawahi kumtosha na haitokuja kumtosha yeyote yule kwenye nafasi ya Uraisi wa TFF kufanya jambo ambalo linaweza kupendeza sana wapenda kandanda.

Ukizingatia watanzania tupendavyo short-cut ya Maendeleo, wengi wetu tunaona hakuna kitu chochote alichofanya JEM kwa kipindi chake chote cha Miaka 4.

Najua kunawengine tumezaa chuki mioyoni mwetu kutokana na Usimba na Uyanga tu.

Ila jambo muhimu ni kuwa JEM anahitaji miaka 4 zaidi muda wake uweze kupimwa na Maendelea aliyohusika nayo.

Kuna hii dhana ambayo tumejijenge kuwa soka la bongo linaposhndwa kupiga hatua kidogo, basi wa kulaumwa ni rais wa TFF. Hivi mmeshawahi kujiuliza vilabu vyenu vya Simba na Yanga vinafanya jitihada gani kukuza soka la bongo?
Au mnatarajia TFF iandae progamu za kukuza soka vilabuni vyenu humo?

Binafsi naipongeza TFF na rais wake kwa kuonyesha njia hasa kwenye suala la kukuza soka la vijana.

Ninaamini kuna mengi mno ambayo yapo kwenye mipango ya JEM kuhusu soka la Bongo....
Licha ya kuwa na muda mchache sana wa kutimiza hayo .....nimefurahia jitihada zake za kutokata tamaa na kuwania nafasi ya Urais kwa Mara nyingine tena ili kukamilisha yale makubwa zaidi aliyo yakusudia kwa ajili ya soka la Bongo.

Sina kinyongo kabisa na mdogo wangu Ally Mayay naye namtakia kila la kheri, ila akae akijua kuwa huu si wakati wake.
Na kwamba JEM amejipanga vilivyo kumgaragaza kwenye uwanja wa Uchaguzi.

Namshauri Ally Mayay ajipange upya kwa ajili ya Uchaguzi wa mwaka 2021.

Ninauhakika kuwa wajumbe wapiga kura watahakiksha ushindi wa kishindo kwa JeM



@TeamMalinzi
Ili aendelee kujaza Wahaya Tff? Aende zake bhana!
 
Malinzi aliivuruga sana Yanga wakati wa utawala wake baadhi tukajua labda kwa fitna za wanachama pale jangwani ndomana alishindwa kutimiza majukumu yake nikadhani labda TFF kwenye ofisi ambayo kama ni muwajibikaji mzuri inakufanya uwe very independent na innovative lakini maajabu ndio kaja kuvuruga vuruga,katengeneza usimba na uyanga mpaka kwenye kamati za utendaji soccer haliendi tena ni majungu asubuhi mpaka jioni kashindwa kuficha kabisa kutembea kwenye njia safi aliyoachiwa na Mh.Tenga japo kulikuwa na mapungufu kadhaa,yaani huyu nae kaingia kwenye mkumbo wa wanakanda ya ziwa kutoaminika tena katika kupewa nyadhifa za juu..Nikweli apishe vijana walio na ari na mawazo mapya
 
Malinzi aliivuruga sana Yanga wakati wa utawala wake baadhi tukajua labda kwa fitna za wanachama pale jangwani ndomana alishindwa kutimiza majukumu yake nikadhani labda TFF kwenye ofisi ambayo kama ni muwajibikaji mzuri inakufanya uwe very independent na innovative lakini maajabu ndio kaja kuvuruga vuruga,katengeneza usimba na uyanga mpaka kwenye kamati za utendaji soccer haliendi tena ni majungu asubuhi mpaka jioni kashindwa kuficha kabisa kutembea kwenye njia safi aliyoachiwa na Mh.Tenga japo kulikuwa na mapungufu kadhaa,yaani huyu nae kaingia kwenye mkumbo wa wanakanda ya ziwa kutoaminika tena katika kupewa nyadhifa za juu..Nikweli apishe vijana walio na ari na mawazo mapya
Wabongo ni mabingwa wa majungu ,TFF gani hiyo iliyovurugwa au wewe upo zama za FAT ya wakina Ndolanga na Rage?

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
 
Kama tatizo ni sura mpya mpigie debe mkeo akakae pale.

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
Umeona kuna sura mbaya hapo au kusoma tatzo... umehakikiwa cheti kweli wewe jibu kistarabu povu la nini? Tunaitaji sura mpya sio walewale bro so soma uelewe povu sio issue halitakusaidia... mke wangu kaingiaje hapo kuwa mstarabu
 
Mayai mi sina tatizo nae,anaweza kukupeleka sehemu kama taifa kisoka tatizo langu kwake ni hao marafiki zake eti Julio[emoji16][emoji16][emoji16].
 
Umeona kuna sura mbaya hapo au kusoma tatzo... umehakikiwa cheti kweli wewe jibu kistarabu povu la nini? Tunaitaji sura mpya sio walewale bro so soma uelewe povu sio issue halitakusaidia... mke wangu kaingiaje hapo kuwa mstarabu
Tuliza ball kijana,kama sura za wakina Malinzi hazifai tumuweke mkeo ili TFF ipendeze.

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom