Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uongo wako ni kiwango cha standard gauge, Keep it upIpo siku moja wenu atakuja kutoa ushuhuda hapa
Mimi ninayoMimi nakwambia tafuta ukiyapata nakutoa namba za mnunuz bila Mimi kuingilia biashara zenu.
Una maanisha Unaye Buyer au?Habari zenu!
Naomba leo nitoe ushuhuda hapa jukwaani. Kwanza nipende kutoa shukurani kwa Mwenyezi Mungu kwa kuendelea kuniweka hai kwani wengi Sana walitani kuishi ama kupata bahati Kama yangu lakini hajaweza kupata.
Kiu kubwa ya mwanadamu ni kupata mafanikio katika maisha. Wengi tunatamani mafanikio ya kiuchumi kwani bila haya hatuwezi kuheshimika ktk nyanja zingine za kijamii kama ndoa n.k.
Wengi wetu tumekuwa tukipigana kuufuza umasikini bila mafanikio lkn leo naomba kukufumbua watu macho kuhusiana na mayai ya bundi. Nakumbuka nikiwa form mwaka 2010 nilipewa mchongo na mjomba wangu alisema Kama utani. Aliniambia ukipata mayai ya bundi nambie nikuoneshe pesa ilipo.
Aisee kwa vile huwa nina uchu na utajiri niliyasaka sana huko mbungani kwa kweli mungu siyo Athumani mnamo mwezi Kama huu nilipanda kwenye mkuyu mkubwa Sana. Nilishangaa bundi unaruka usawa wangu nikatetemeka kidogo nianguke ila nilivumilia tu. Baada ya kutulia nikaangalia vzr nikapata Kuna mayai mawili yanakaribiana na mayai ya kuku. Aise nilikimbia mpaka centre ya Kijiji nikanunu wembe wa topaz. Nikaenda kutest kweli wembe ukanasa.
Nifupishe stori tu. Nilipeleka akanipeleka Mji wa Kisumu Kenya tukauza KSh 10m tukaja tukabadilisha ila kwa bahati mbaya Sana Mimi nilipata kama 16m za kitanzania tu. Sijui zingine zilienda wapi ata. Kuanzia siku hiyo Sina maisha mabaya sana kwani nilifanikiwa kuanzisha biashara zangu na nimejenga na umri nilionao unaruhusu kabsa.
Namshukuru Mungu
Utajuaje kuwa ni ya polini?Sitaki ya kufugwa nataka Yale ya polini
Mimi nilidhani una kipimo kilichothibitishwa na TBSCoz tunanunua kwa masharti fulan
Ungetangaza unanunuaCoz tunanunua kwa masharti fulan
UongoOnyo: Mayai ya bundi huleta nuksi hasa likipasuka kwenye himaya. U can die soon there after