amazingone
Member
- Mar 4, 2014
- 25
- 12
Nimechukua fursa ya kufuga Kwale(quails),ndege Wa kipekee,adimu, na mwenye faida kibao kwa binadamu.Kwa miaka mingi amekuwa maarufu barani Asia,Ulaya,na jirani zetu wa Kenya katika kufugwa na ulaji wake.
kwa sasa kwale zangu wameshaanza kutaga hivyo nakaribisha wote wanaotaka kujifunza ufugaji wake au kutaka kununua Mayai yake.
![images[1].jpg images[1].jpg](https://xf23.jamii.app/data/attachments/3200/3200613-f8dcbb8644673777c895cc96648f55d3.jpg?hash=-Ny7hkRnN3)


Faida ya mayai:
#improving brain IQ
#kuinua kinga ya mwili zidi ya magonjwa kama cancer, TB,kisukari,blood pressure,asthma ,anaemia nk
Kwa sasa trei inauzwa 20,000/=
Karibu sana nipo hapa DSM.
Tuwasiliane kupitia
0767 851 492
kwa sasa kwale zangu wameshaanza kutaga hivyo nakaribisha wote wanaotaka kujifunza ufugaji wake au kutaka kununua Mayai yake.
![images[1].jpg images[1].jpg](https://xf23.jamii.app/data/attachments/3200/3200613-f8dcbb8644673777c895cc96648f55d3.jpg?hash=-Ny7hkRnN3)


Faida ya mayai:
#improving brain IQ
#kuinua kinga ya mwili zidi ya magonjwa kama cancer, TB,kisukari,blood pressure,asthma ,anaemia nk
Kwa sasa trei inauzwa 20,000/=
Karibu sana nipo hapa DSM.
Tuwasiliane kupitia
0767 851 492