Mayai ya kwale(Quails ) na ufugaji

Mayai ya kwale(Quails ) na ufugaji

weka namba ya sim tafadhal.

Watu kama nyie mnamaudhi kweli na ndio nyie mkifeli mtihani au maisha mnatafta wachawi!
Unakimbilia wapi mkuu kwanini usisome uzi wote na kuelewa kisha ukachangia?
JF ni shule tosha na darasa linalohitaji utulivu na usikivu wa hali ya juu kuliko huko ulipofundishwa kusoma na kuandika. Nakusihi ujifunze vizuri na uzingatie kwa manufaa yako.
 
Hii kitu sio mara ya kwanza kuisikia humu jukwaani. Mhimu ungetuambia wapi tunaweza kupata vifaranga kwa wingi na elimu juu ya ufugaji wa hawa ndege citing from your own experience and behaviour observations from your own views. Hongera kwa kukamatia opportunity BONGO siku zote ni tambarare cha mhimu ni kujituma tu!
 
Kwakuwa wadau wengi Wa hapa JF nimekuwa nikiwauzia mayai kwa wingi ambapo imefikia point sasa demand ni kubwa kuliko supply, n still kuna wengine wanahitaji vifaranga,nimeamua kuagiza incubator kubwa zaidi ili nikidhi mahitaji ya soko..hivyo wale Wa vifaranga vya Kwale tuwe na subira kidogo
 
Back
Top Bottom