John Gregory
JF-Expert Member
- Jul 14, 2019
- 1,137
- 2,147
Mimi ni nani hata nibisheImefika hatua huyu kiumbe apewe heshima yake, na atanbuliwe kwa mchango wake mkubwa katika soka la Tanzania.Huyu kijana alipaswa awepo Barcelona, Madrid au PSG akishindwa kabisa Liverpool au Man City.Ni mchezaji aliyekamilika idara zote, mpambanaji na anajua kutafuta na kufunga magoli, Predator haswahaswa! Maana kamili ya foward aloyekamilika.
Huu utoto ungemaliza kwanza huko Facebook halafu ndo ukaja hapa kuandika vizuri hujui atanbuliwe na aloyekamilika ndo nini wewe Kilaza.Imefika hatua huyu kiumbe apewe heshima yake, na atanbuliwe kwa mchango wake mkubwa katika soka la Tanzania.Huyu kijana alipaswa awepo Barcelona, Madrid au PSG akishindwa kabisa Liverpool au Man City.Ni mchezaji aliyekamilika idara zote, mpambanaji na anajua kutafuta na kufunga magoli, Predator haswahaswa! Maana kamili ya foward aloyekamilika.
Subirini Chama fans wafike na uchambuzi maandazImefika hatua huyu kiumbe apewe heshima yake, na atanbuliwe kwa mchango wake mkubwa katika soka la Tanzania.
Huyu kijana alipaswa awepo Barcelona, Madrid au PSG akishindwa kabisa Liverpool au Man City. Ni mchezaji aliyekamilika idara zote, mpambanaji na anajua kutafuta na kufunga magoli, Predator haswahaswa! Maana kamili ya foward aliyekamilika.
Ni kweli Mayele ni Striker mzuri kwa ligi ya Bongo.Imefika hatua huyu kiumbe apewe heshima yake, na atanbuliwe kwa mchango wake mkubwa katika soka la Tanzania.
Huyu kijana alipaswa awepo Barcelona, Madrid au PSG akishindwa kabisa Liverpool au Man City. Ni mchezaji aliyekamilika idara zote, mpambanaji na anajua kutafuta na kufunga magoli, Predator haswahaswa! Maana kamili ya foward aliyekamilika.
Chama cha makolo ๐๐๐Subirini Chama fans wafike na uchambuzi maandaz
Mkuu, Jitahidi sana mapenzi yako kwa Yanga yasikufanye ukaonekana mjinga mjinga.Mayele = Harland + Mbape+ Rashford+ Moiseh + Kane + Salah +Baleke + phiri + kambole
Cjui bhangi gani hii umevuta Leo unatuletea uharoImefika hatua huyu kiumbe apewe heshima yake, na atambuliwe kwa mchango wake mkubwa katika soka la Tanzania.
Huyu kijana alipaswa awepo Barcelona, Madrid au PSG akishindwa kabisa Liverpool au Man City. Ni mchezaji aliyekamilika idara zote, mpambanaji na anajua kutafuta na kufunga magoli, Predator haswahaswa! Maana kamili ya foward aliyekamilika.
Imefika hatua huyu kiumbe apewe heshima yake, na atambuliwe kwa mchango wake mkubwa katika soka la Tanzania.
Huyu kijana alipaswa awepo Barcelona, Madrid au PSG akishindwa kabisa Liverpool au Man City. Ni mchezaji aliyekamilika idara zote, mpambanaji na anajua kutafuta na kufunga magoli, Predator haswahaswa! Maana kamili ya foward aliyekamilika.
Imefika hatua huyu kiumbe apewe heshima yake, na atambuliwe kwa mchango wake mkubwa katika soka la Tanzania.
Huyu kijana alipaswa awepo Barcelona, Madrid au PSG akishindwa kabisa Liverpool au Man City. Ni mchezaji aliyekamilika idara zote, mpambanaji na anajua kutafuta na kufunga magoli, Predator haswahaswa! Maana kamili ya foward aliyekamilika.