Mayele 1 ni sawa na Chama 8, Baleke 12, Phiri 13, Sakho 23, Kapombe 22 na chenchi inabaki

Mayele 1 ni sawa na Chama 8, Baleke 12, Phiri 13, Sakho 23, Kapombe 22 na chenchi inabaki

John Gregory

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2019
Posts
1,137
Reaction score
2,147
Imefika hatua huyu kiumbe apewe heshima yake, na atambuliwe kwa mchango wake mkubwa katika soka la Tanzania.

Huyu kijana alipaswa awepo Barcelona, Madrid au PSG akishindwa kabisa Liverpool au Man City. Ni mchezaji aliyekamilika idara zote, mpambanaji na anajua kutafuta na kufunga magoli, Predator haswahaswa! Maana kamili ya foward aliyekamilika.
 
Imefika hatua huyu kiumbe apewe heshima yake, na atanbuliwe kwa mchango wake mkubwa katika soka la Tanzania.Huyu kijana alipaswa awepo Barcelona, Madrid au PSG akishindwa kabisa Liverpool au Man City.Ni mchezaji aliyekamilika idara zote, mpambanaji na anajua kutafuta na kufunga magoli, Predator haswahaswa! Maana kamili ya foward aloyekamilika.
Mimi ni nani hata nibishe
 
Imefika hatua huyu kiumbe apewe heshima yake, na atanbuliwe kwa mchango wake mkubwa katika soka la Tanzania.Huyu kijana alipaswa awepo Barcelona, Madrid au PSG akishindwa kabisa Liverpool au Man City.Ni mchezaji aliyekamilika idara zote, mpambanaji na anajua kutafuta na kufunga magoli, Predator haswahaswa! Maana kamili ya foward aloyekamilika.
Huu utoto ungemaliza kwanza huko Facebook halafu ndo ukaja hapa kuandika vizuri hujui atanbuliwe na aloyekamilika ndo nini wewe Kilaza.
 
Imefika hatua huyu kiumbe apewe heshima yake, na atanbuliwe kwa mchango wake mkubwa katika soka la Tanzania.

Huyu kijana alipaswa awepo Barcelona, Madrid au PSG akishindwa kabisa Liverpool au Man City. Ni mchezaji aliyekamilika idara zote, mpambanaji na anajua kutafuta na kufunga magoli, Predator haswahaswa! Maana kamili ya foward aliyekamilika.
Subirini Chama fans wafike na uchambuzi maandaz
 
Imefika hatua huyu kiumbe apewe heshima yake, na atanbuliwe kwa mchango wake mkubwa katika soka la Tanzania.

Huyu kijana alipaswa awepo Barcelona, Madrid au PSG akishindwa kabisa Liverpool au Man City. Ni mchezaji aliyekamilika idara zote, mpambanaji na anajua kutafuta na kufunga magoli, Predator haswahaswa! Maana kamili ya foward aliyekamilika.
Ni kweli Mayele ni Striker mzuri kwa ligi ya Bongo.

Ila haya mengine uliyosema ni mtazamo wako au fact?

Okay, kama ni mtazamo wako hamna tatizo. Ila kama ni Fact tupe evidence.

N.B. Ila Manara wa Simba tutakukumbuka sana, ulikua na akili sana wakati ule, ila lile kuhusu akili za mashabiki wa Yanga litaendelea kuishi kizazi na kizazi.
 
Imefika hatua huyu kiumbe apewe heshima yake, na atambuliwe kwa mchango wake mkubwa katika soka la Tanzania.

Huyu kijana alipaswa awepo Barcelona, Madrid au PSG akishindwa kabisa Liverpool au Man City. Ni mchezaji aliyekamilika idara zote, mpambanaji na anajua kutafuta na kufunga magoli, Predator haswahaswa! Maana kamili ya foward aliyekamilika.
Cjui bhangi gani hii umevuta Leo unatuletea uharo
 
Imefika hatua huyu kiumbe apewe heshima yake, na atambuliwe kwa mchango wake mkubwa katika soka la Tanzania.

Huyu kijana alipaswa awepo Barcelona, Madrid au PSG akishindwa kabisa Liverpool au Man City. Ni mchezaji aliyekamilika idara zote, mpambanaji na anajua kutafuta na kufunga magoli, Predator haswahaswa! Maana kamili ya foward aliyekamilika.

Hapana alipaswa kuwepo mars kuna ligi inaendelea kule
 
Imefika hatua huyu kiumbe apewe heshima yake, na atambuliwe kwa mchango wake mkubwa katika soka la Tanzania.

Huyu kijana alipaswa awepo Barcelona, Madrid au PSG akishindwa kabisa Liverpool au Man City. Ni mchezaji aliyekamilika idara zote, mpambanaji na anajua kutafuta na kufunga magoli, Predator haswahaswa! Maana kamili ya foward aliyekamilika.

Sawa hata chama 1000
Tufanye Tanzania team Yanga peke ake hakuna nyingine
 
Afya ya Akili au baridi la mvua😝😝😝😝

7up hapo karibu yako nitakulipia
 
Japo sina timu......ila MAYELE ni sawa na Kikosi kizma Cha MAKOLO
 
Back
Top Bottom