Mayele achemsha kwa Waganda, atolewa dakika ya 73, nilisema nje ya Utopolo anaenda kujimaliza

Mayele achemsha kwa Waganda, atolewa dakika ya 73, nilisema nje ya Utopolo anaenda kujimaliza

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Leo DR Congo walicheza na Uganda na matokeo ni 1 1, beki Inonga Baka na mshambuliaji Fiston Mayele walianza, hata hivyo Mayele ambaye ni mfungaji bora ligi kuu nchini alitolewa katika dakika ya 73 baada ya kushindwa kumudu mchezo.

Mm namshauri arudi Yanga kulinda heshima, timu hizi mchezaji anaonekana mzuri kutokana na mambo ya utamaduni, nje ya hapo hamna lolote.

Huko anakowindwa akifunga mabao 5 nipo humu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
 
Leo DR Congo walicheza na Uganda na matokeo ni 1 1, beki Inonga Baka na mshambuliaji Fiston Mayele walianza, hata hivyo Mayele ambaye ni mfungaji bora ligi kuu nchini alitolewa katika dakika ya 73 baada ya kushindwa kumudu mchezo.

Mm namshauri arudi Yanga kulinda heshima, timu hizi mchezaji anaonekana mzuri kutokana na mambo ya utamaduni, nje ya hapo hamna lolote.

Huko anakowindwa akifunga mabao 5 nipo humu.
Ukigusa Mayele kwa mwana Yanga ni sawa na unataka kumuibia Mke/Mume. Akili huwatoka kabisa.
Kama kuna shabiki (mwanaume) amewahi kusema Mayele aje atampa hata 0713 ashughulike nayo unategemea nini?
 
Leo DR Congo walicheza na Uganda na matokeo ni 1 1, beki Inonga Baka na mshambuliaji Fiston Mayele walianza, hata hivyo Mayele ambaye ni mfungaji bora ligi kuu nchini alitolewa katika dakika ya 73 baada ya kushindwa kumudu mchezo.

Mm namshauri arudi Yanga kulinda heshima, timu hizi mchezaji anaonekana mzuri kutokana na mambo ya utamaduni, nje ya hapo hamna lolote.

Huko anakowindwa akifunga mabao 5 nipo humu.
Furaha au huzuni kwa Mayele kufanya vizuri wakati akiitumikia timu yake ya taifa inawahusu wakongo na sio watanzania.
 
Back
Top Bottom