Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Leo DR Congo walicheza na Uganda na matokeo ni 1 1, beki Inonga Baka na mshambuliaji Fiston Mayele walianza, hata hivyo Mayele ambaye ni mfungaji bora ligi kuu nchini alitolewa katika dakika ya 73 baada ya kushindwa kumudu mchezo.
Mm namshauri arudi Yanga kulinda heshima, timu hizi mchezaji anaonekana mzuri kutokana na mambo ya utamaduni, nje ya hapo hamna lolote.
Huko anakowindwa akifunga mabao 5 nipo humu.
Mm namshauri arudi Yanga kulinda heshima, timu hizi mchezaji anaonekana mzuri kutokana na mambo ya utamaduni, nje ya hapo hamna lolote.
Huko anakowindwa akifunga mabao 5 nipo humu.