Last Seen
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 229
- 566
Kwanza niwapongeze wamanchi wenzangu kwa ushindi huu, Pili kwa vibunda tulivyoahidiwa kwa kila idadi ya goli 5M.
Pili mayele ametufelisha sana leo, anachelewesha mipira, anataka kufunga magoli yeye kama yeye hata kama kuna nafasi ya kutoa pasi.
Vionfozi wangu wa Yanga naamini mtamuelekeza aache Umimi, sio lazima afunge yeye, Kikubwa timu ishinde hata asipofunga akatoa assist ina mchango mkubwaa..
Makole hamna haki ya kuwa JF saivi ( Just kidding)😂
Pili mayele ametufelisha sana leo, anachelewesha mipira, anataka kufunga magoli yeye kama yeye hata kama kuna nafasi ya kutoa pasi.
Vionfozi wangu wa Yanga naamini mtamuelekeza aache Umimi, sio lazima afunge yeye, Kikubwa timu ishinde hata asipofunga akatoa assist ina mchango mkubwaa..
Makole hamna haki ya kuwa JF saivi ( Just kidding)😂