ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Siyo wajumbe. Hiyo ni sawa na kusema mvaa tai yenye bendera ya taifa ndo awe mzalendo namba 1.Huwajui vzr watu wanoitwa Wajumbe wewe
Wahini CAS mkalianzishe kama kawaida yenu.Kwa namna ya perfomance yakè uwanjani, ubora na uwezo aliouonyesha katika kuzifumania nyavu....kwa hamasa alioijenga katika jamii ya wapenzi wa kandanda...kwa jinsi alivyo trend
Mitaani...
Nyumba za ibada..
Bungeni.
Hata ndani ya hotuba ya waziri wa fedha akihitimisha bunge la bajeti..alivyo trend mitandaoni ndani na nje ya nchi.
Mwamba huyu alistahili tuzo ya mchezaji bora wa Nbc premier league msimu huu uliomalizika.
Hizo zote ni mbwembwe tuuKwa namna ya perfomance yakè uwanjani, ubora na uwezo aliouonyesha katika kuzifumania nyavu....kwa hamasa alioijenga katika jamii ya wapenzi wa kandanda...kwa jinsi alivyo trend
Mitaani...
Nyumba za ibada..
Bungeni.
Hata ndani ya hotuba ya waziri wa fedha akihitimisha bunge la bajeti..alivyo trend mitandaoni ndani na nje ya nchi.
Mwamba huyu alistahili tuzo ya mchezaji bora wa Nbc premier league msimu huu uliomalizika.
Hilo we unaona dogo?Yani apewe tuzo ya mchezaji bora kisa tu ametrend kwenye nyumba za ibada?
Leo nimemsikiliza huyu mgombea wa yanga jinsi kampun itakavokuwa baad ya yanga kuingia mfumo wa kisasa,, kwa mfano pale simba Mo alijipangia bei nakumbuka alitoa mpaka muda simba waamue kama hawataki hizo pesa pesa bilion 20 anaweza kununua Bank.Kiatu cga mfungaji bora kakosa kaambulia soksi,mchezaji bora kakosa kaambulia mtetema bora
pale simba Mo alijipangia bei nakumbuka alitoa mpaka muda simba waamue kama hawataki hizo pesa pesa bilion 20 anaweza kununua Bank.Ukiwa yanga lazima dish liyumbe kidogo