Mayele amuachie Saido kiatu cha mfungaji Bora NBC


Ni kweli kabisa, wajinga huwa ni kuwapisha tu
 
Hebu acha kubana pua, unaongea upuuzi....
 
Mfungaji Bora wa CAF toka TZ imeanzishwa hakujawahi kutokea mfungaji Bora wa mashindano ya kimataifa tofauti Na mayele mpeni heshima yake
Ngassa umesahau tena? Si ni wa huko huko utopoloni. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Chukuweni Na kombe chukuweni sisi malengo yetu ni CAF tu
Sio CAF, malizia caf confederation! Maana mataji ya CAF yapo mawili, kuna moja amabalo umetoka kuwa finalist juzi na kuna lile amabalo una 20+ years ujafika even group stage
 
Mfungaji Bora wa CAF toka TZ imeanzishwa hakujawahi kutokea mfungaji Bora wa mashindano ya kimataifa tofauti Na mayele mpeni heshima yake
Kutoka ligi ya tz sawa ila kuna mtz alishakuwa mfungaji wa CAF champion league(yaani samata)...... Alafu mnatuchanganya mkiwa mnaishia CAF pekeake muwe mnamalizia CAF confederation maana zipo mbili.....sio kwa ubaya lakini
 
Sizitaki mbichi hizi
 
Wewe acha ujinga unalinganisha mtu mwenye goli Moja club bingwa na mwenye goli sita club bingwa ?Wapo wanaomfuata shalulile waangalie na uwataje sio mayele ,hii Africa nzima umeitoa wapi?
 
Chukuweni Na kombe chukuweni sisi malengo yetu ni CAF tu
Uto acheni kujisufu na hivyo vimedali vya losers confederation cup.
USM Alger aliyenyanyua ndoo wala hajajisifu
 
Nchi majinga mpo wengi sana halili mwarabu ajitwalie bandari zetu kwa miaka 100
 
Wewe acha ujinga unalinganisha mtu mwenye goli Moja club bingwa na mwenye goli sita club bingwa ?Wapo wanaomfuata shalulile waangalie na uwataje sio mayele ,hii Africa nzima uneitoa wapi?
Nani huyo ana goli sita club bingwa na anatokea nchi gani?
 
Mayele mchezaji mwenye papara nyingi sana. Timu kubwa hawezi kukidhi ushambuliaji.

Shida tz malimbukeni wengi wanakuza tu majina.
Mimi nilimuambia manara kwamba aache kumpamba mayele kwani mayele ni kimeo
 
Goli za Jana zimewauma sana uto. Ilikuwa ni dharau kubwa kwa ligi yetu mtu amelala, hataki kuendelea kucheza mechi zilizobakia kisa anafikiri tayari ana kiatu cha ufuagaji bora. Nina hakika Jana hajalala na mechi iliyobakia atafia uwanjani.
Hongera Saidoo kwa kuwaaamsha hawa vyura hahaha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…