Mayele anaongoza kwa magoli Misri, leo kawapiga Al Ahly goli moja

Mayele anaongoza kwa magoli Misri, leo kawapiga Al Ahly goli moja

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Hata atuoneshe dharau, dogo anaupiga mwingi mbaya. Kila mechi anapasua watu. Leo kapiga kamoja Al Ahly wakishindaa 3 kwa 2 dhidi ya Pyramids.

Akiwa na magoli 14 mwanaume mwamba wa Congo anapekenyua kiatu cha Misri muda si mrefu.

Naamini Pyramids watamheshimu sana Eng. Hersi kama sio kumjengea sanamu kwa kuwapa kijana mwenye akili zake.
 
Hata atuonyeshe dharau sifa zake tampere

Dogooo anaupiga mwingi mbayaaa

Kila mechii anapasuaaa watuuLeo kapiga kamoja alhaly wakishindaa 3 kwa 2 dhifi ya pyramids

Akiwa na magoli 14 mwanaume mwamba wa Congo anapekenyua kiatu cha misri mda si mrefu

Naamini pyramids watamheshimu sana engn hersiii kama sio kumjengea sanamu kwa kuwapa kijana mwenye akili zakee

Asbestos mayele f.
Nilimshabikia sana ila nikaacha baada ya kudai kapewa majini na Yanga badala ya kutambua tu kuwa alikuwa anahitaji muda wa kuzowea. Sasa majini hayo yamekwenda wapi.
 
Hata atuonyeshe dharau sifa zake tampere

Dogooo anaupiga mwingi mbayaaa

Kila mechii anapasuaaa watuuLeo kapiga kamoja alhaly wakishindaa 3 kwa 2 dhifi ya pyramids

Akiwa na magoli 14 mwanaume mwamba wa Congo anapekenyua kiatu cha misri mda si mrefu

Naamini pyramids watamheshimu sana engn hersiii kama sio kumjengea sanamu kwa kuwapa kijana mwenye akili zakee

Asbestos mayele f.
Naona majini ya Yanga yamemuacha huru.
 
Hata atuonyeshe dharau sifa zake tampere

Dogooo anaupiga mwingi mbayaaa

Kila mechii anapasuaaa watuuLeo kapiga kamoja alhaly wakishindaa 3 kwa 2 dhifi ya pyramids

Akiwa na magoli 14 mwanaume mwamba wa Congo anapekenyua kiatu cha misri mda si mrefu

Naamini pyramids watamheshimu sana engn hersiii kama sio kumjengea sanamu kwa kuwapa kijana mwenye akili zakee

Asbestos mayele f.
Mlisema ana majini yameondoka?
 
C383F786-3D9A-4A09-B179-1E19A3C04939.png


Majini kama haya sio mazuri kabisa... Mayele ametumwa akazitafute hela kwa kutumia kipaji chake...
 
BAADA YA RADHI
1.AKANZA KUINGIZWA KWE NYE 1ST ELEVEN
2.AKAANZA KUFUNGA MAGOLI 2 KILA MECHI AMEKUKOSA KAMOJA


Hana ubaya nna sisi tenaaaa
 
Mlisema ana majini yameondoka?
Tungeyaondoaa yore angekuwa na magoli 21 plus angeongeza kiburi tunayapunguza akirudia tunayaongeza mara tatu hata dk 90 achexi kama sio kuwa na majaeruhi ya mileleeee..
 
Kubaa zaidi akasema anaipenda sana yanga anaomba radhi hata akitoka huku akirudi dar timu yenye hadhi yake n yanga woiiiiii tukampunguzia nusu majini
 
Hata atuoneshe dharau, dogo anaupiga mwingi mbaya. Kila mechi anapasua watu. Leo kapiga kamoja Al Ahly wakishindaa 3 kwa 2 dhidi ya Pyramids.

Akiwa na magoli 14 mwanaume mwamba wa Congo anapekenyua kiatu cha Misri muda si mrefu.

Naamini Pyramids watamheshimu sana Eng. Hersi kama sio kumjengea sanamu kwa kuwapa kijana mwenye akili zake.
that's our boy wananchi
 
Back
Top Bottom