Nilimshabikia sana ila nikaacha baada ya kudai kapewa majini na Yanga badala ya kutambua tu kuwa alikuwa anahitaji muda wa kuzowea. Sasa majini hayo yamekwenda wapi.Hata atuonyeshe dharau sifa zake tampere
Dogooo anaupiga mwingi mbayaaa
Kila mechii anapasuaaa watuuLeo kapiga kamoja alhaly wakishindaa 3 kwa 2 dhifi ya pyramids
Akiwa na magoli 14 mwanaume mwamba wa Congo anapekenyua kiatu cha misri mda si mrefu
Naamini pyramids watamheshimu sana engn hersiii kama sio kumjengea sanamu kwa kuwapa kijana mwenye akili zakee
Asbestos mayele f.
Naona majini ya Yanga yamemuacha huru.Hata atuonyeshe dharau sifa zake tampere
Dogooo anaupiga mwingi mbayaaa
Kila mechii anapasuaaa watuuLeo kapiga kamoja alhaly wakishindaa 3 kwa 2 dhifi ya pyramids
Akiwa na magoli 14 mwanaume mwamba wa Congo anapekenyua kiatu cha misri mda si mrefu
Naamini pyramids watamheshimu sana engn hersiii kama sio kumjengea sanamu kwa kuwapa kijana mwenye akili zakee
Asbestos mayele f.
Mlisema ana majini yameondoka?Hata atuonyeshe dharau sifa zake tampere
Dogooo anaupiga mwingi mbayaaa
Kila mechii anapasuaaa watuuLeo kapiga kamoja alhaly wakishindaa 3 kwa 2 dhifi ya pyramids
Akiwa na magoli 14 mwanaume mwamba wa Congo anapekenyua kiatu cha misri mda si mrefu
Naamini pyramids watamheshimu sana engn hersiii kama sio kumjengea sanamu kwa kuwapa kijana mwenye akili zakee
Asbestos mayele f.
Unajua Yanga analipwa kiasi gani?View attachment 3040852
Majini kama haya sio mazuri kabisa... Mayele ametumwa akazitafute hela kwa kutumia kipaji chake...
2.5B kwa sekunde...Unajua Yanga analipwa kiasi gani?
Acha kiherehere kwenye maisha ya watuView attachment 3040852
Majini kama haya sio mazuri kabisa... Mayele ametumwa akazitafute hela kwa kutumia kipaji chake...
Mi mwenyewe huyu kijana hamu nae sinaNilimshabikia sana ila nikaacha baada ya kudai kapewa majini na Yanga badala ya kutambua tu kuwa alikuwa anahitaji muda wa kuzowea. Sasa majini hayo yamekwenda wapi.
Hiyo hamu ihamishie kwangu basi.Mi mwenyewe huyu kijana hamu nae sina
that's our boy wananchiHata atuoneshe dharau, dogo anaupiga mwingi mbaya. Kila mechi anapasua watu. Leo kapiga kamoja Al Ahly wakishindaa 3 kwa 2 dhidi ya Pyramids.
Akiwa na magoli 14 mwanaume mwamba wa Congo anapekenyua kiatu cha Misri muda si mrefu.
Naamini Pyramids watamheshimu sana Eng. Hersi kama sio kumjengea sanamu kwa kuwapa kijana mwenye akili zake.