Mayele anaongoza kwa magoli Misri, leo kawapiga Al Ahly goli moja

Nilimshabikia sana ila nikaacha baada ya kudai kapewa majini na Yanga badala ya kutambua tu kuwa alikuwa anahitaji muda wa kuzowea. Sasa majini hayo yamekwenda wapi.
Hata mimi hadi mwanangu nikimuita J.Kalala Mayele.Saa hizi hata sitaki kumsikia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…