NITAKUKAMATA TU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 347
- 432
unawaza misosi ya kwenye matamasha. Watafutie wanao misosi ya nyumbaniBaada ya hapo jana mshambuliaji wa kimataifa wa yanga kutoka drc fiston Kalala mayele kuzawadiwa ng'ombe mwingine na mashabiki uko mwanza ,ni wazi sasa viongozi waanze kutafuta mchele,kwan mayele anaendelea kutafuta mboga hili siku ya mwananchi day mashabiki wakale uwanjani ,mpka ligi kuisha ng'ombe zitakuwa zimetosha ,
unawaza misosi ya kwenye matamasha. Watafutie wanao misosi ya nyumban
Kama uzi haukuhusu pita pembeni usitake matusiunawaza misosi ya kwenye matamasha. Watafutie wanao misosi ya nyumbani
Haha Hizi ng'ombe tunawapa magarasa yenu kagere na mugalu yakachungeunawaza misosi ya kwenye matamasha. Watafutie wanao misosi ya nyumbani
Haha mshamba huyo achana naeKama uzi haukuhusu pita pembeni usitake matusi
Matusi ya nini tena sheikh, mpira burudani!Kama uzi haukuhusu pita pembeni usitake matusi
Haha hawana ela tatzo wanategemea free transfer.Wasiwasi wangu ni jamaa kuwepo jangwani msimu ujao kama janja janja ya mikataba itaendelea kuwepo. Makolo sio watu wazuri.
Burudani zenyewe ndio hizo ,unavutiwa na mayele unampa ng'ombe,mashabiki simba amjakatazwa kuwapa kina sakho ata ngamia kama mnawezaMatusi ya nini tena sheikh, mpira burudani!
punguza makasilikounawaza misosi ya kwenye matamasha. Watafutie wanao misosi ya nyumbani
Si ndio hapo sasa sisi tuna yetu nao wafanye yaopunguza makasiliko
kwani amekuomba msosi?
Fedha taslimu ndio kila kitu, na zinapatikana CAF CL & CC. Sasa unampa Mayele ng'ombe halafu amsafirishe yeye mwenyewe, chenji atakayobaki nayo ni shilingi ngapi? πππBurudani zenyewe ndio hizo ,unavutiwa na mayele unampa ng'ombe,mashabiki simba amjakatazwa kuwapa kina sakho ata ngamia kama mnaweza
Fedha taslimu ndio kila kitu, na zinapatikana CAF CL & CC. Sasa unampa Mayele ng'ombe halafu amsafirishe yeye mwenyewe, chenji atakayobaki nayo ni shilingi ngapi? ππ
Hapa ndio uFedha taslimu ndio kila kitu, na zinapatikana CAF CL & CC. Sasa unampa Mayele ng'ombe halafu amsafirishe yeye mwenyewe, chenji atakayobaki nayo ni shilingi ngapi? πππ
Hapa ndio imeongea kiuanamichezo sio kuanza kuleta maswala yasiioelewekaFedha taslimu ndio kila kitu, na zinapatikana CAF CL & CC. Sasa unampa Mayele ng'ombe halafu amsafirishe yeye mwenyewe, chenji atakayobaki nayo ni shilingi ngapi? πππ
Uyo mashabiki wa simba wamuandalie ata nungununguBoko nae afunge tumpe mnyama kiboko
babu onyango na chikwende ndio wataowachungaMpeni hajimara akachunge hao ng'ombe
Wasiwasi wangu ni jamaa kuwepo jangwani msimu ujao kama janja janja ya mikataba itaendelea kuwepo. Makolo sio watu wazuri.