Mayele anatumika kimkakati

Mayele anatumika kimkakati

Smt016

JF-Expert Member
Joined
Jan 11, 2016
Posts
3,012
Reaction score
4,300
Kuna namna ambavyo viongozi wa Simba wameamua kuwachezea mashabiki wao. Simba ilivyoenda Misri, stori kubwa ilikuwa ni Mayele kuitembelea Simba mara Mayele kuongea kuelekea mechi dhidi ya Al Ahly kisha boss wao Mo akapost kwenye ukurasa wake kaandika "Niseme au nisiseme" hiyo yote ni namna ya kuwazubaisha mashabiki wao.

Timu imetolewa klabu bingwa kwa kufungwa nje ndani tena kwa magoli mengi kisha imekuja kutolewa kombe la FA watu wakaanza maneno maneno mitandaoni mara hatumtaki Mo mara Mangungu na Try again. Baada ya hayo kujili ndipo Mayele kaja kuuzima moto kwa kubadilisha trending story midomoni mwa watu.

Mashabiki wa Simba wamepokea story ya Mayele na kuichukua kama ilivyo tena kwa furaha wakiaminishwa mabaya ya watani wao Yanga.
Mayele sio mtanzania na pia hachezei tena timu za Tanzania kuna sababu ipi ya kupewa air time na media za Tanzania kama sio ni mkakati huo?

Katika wachezaji waliondoka bila maelewano mazuri na Yanga ni Feisal, Niyonzima na Bangala lakini walicheza/ wanacheza vizuri tu mpira ndio atupiwe yeye majini aliyeondoka kwa kuuzwa?
Ni rahisi sana kwa wanasimba kuwatoa kwenye reli kwa danganya toto kama alivyoletwa Manzoki kwenye uchaguzi.
 
Simba walikuwa wanasifika na kutolewa mfano kwa professionalism, but kwa sasa wanatia aibu. Wakiendelea na hizi janja janja Yanga itawapiga gap kubwa sana. Wenzao Yanga wakiongeza wachezaji watatu tu wenye quality wanaweza chukua hata champions league.
 
Kuna namna ambavyo viongozi wa Simba wameamua kuwachezea mashabiki wao. Simba ilivyoenda Misri, stori kubwa ilikuwa ni Mayele kuitembelea Simba mara Mayele kuongea kuelekea mechi dhidi ya Al Ahly kisha boss wa Mo akapost kwenye ukurasa wake kaandika "Niseme au nisiseme" hiyo yote ni namna ya kuwazubaisha mashabiki wao.

Timu imetolewa klabu bingwa kwa kufungwa nje ndani tena kwa magoli mengi kisha imekuja kutolewa kombe la FA watu wakaanza maneno maneno mitandaoni mara hatumtaki Mo mara Mangungu na Try again. Baada ya hayo kujili ndipo Mayele kaja kuuzima moto kwa kubadilisha trending story midomoni mwa watu.

Mashabiki wa Simba wamepokea story ya Mayele na kuichukua kama ilivyo tena kwa furaha wakiaminishwa mabaya ya watani wao Yanga.
Mayele sio mtanzania na pia hachezei tena timu za Tanzania kuna sababu ipi ya kupewa air time na media za Tanzania kama sio ni mkakati huo?

Katika wachezaji waliondoka bila maelewano mazuri na Yanga ni Feisal, Niyonzima na Bangala lakini walicheza/ wanacheza vizuri tu mpira ndio atupiwe yeye majini aliyeondoka kwa kuuzwa?
Ni rahisi sana kwa wanasimba kuwatoa kwenye reli kwa danganya toto kama alivyoletwa Manzoki kwenye uchaguzi.
Na hilo tu linatosha kua zuga na janjajanja za kufrahisha mashabiki.
 
Hili ndo litakua kombe lao msimu huu,na changamoto za yanga ndo itakua faraja yao na mbaya zaidi kadri derby inavokalobia ndo utaona ishu ya mayele itakavyopewa air time na watu wao ila cha kushangaza zaid hata ile radio yao efm kama wanaanza kuwageuka hv sa hv wanawananga balaa sijuwi kwa nn
 
Kuna namna ambavyo viongozi wa Simba wameamua kuwachezea mashabiki wao. Simba ilivyoenda Misri, stori kubwa ilikuwa ni Mayele kuitembelea Simba mara Mayele kuongea kuelekea mechi dhidi ya Al Ahly kisha boss wa Mo akapost kwenye ukurasa wake kaandika "Niseme au nisiseme" hiyo yote ni namna ya kuwazubaisha mashabiki wao.

Timu imetolewa klabu bingwa kwa kufungwa nje ndani tena kwa magoli mengi kisha imekuja kutolewa kombe la FA watu wakaanza maneno maneno mitandaoni mara hatumtaki Mo mara Mangungu na Try again. Baada ya hayo kujili ndipo Mayele kaja kuuzima moto kwa kubadilisha trending story midomoni mwa watu.

Mashabiki wa Simba wamepokea story ya Mayele na kuichukua kama ilivyo tena kwa furaha wakiaminishwa mabaya ya watani wao Yanga.
Mayele sio mtanzania na pia hachezei tena timu za Tanzania kuna sababu ipi ya kupewa air time na media za Tanzania kama sio ni mkakati huo?

Katika wachezaji waliondoka bila maelewano mazuri na Yanga ni Feisal, Niyonzima na Bangala lakini walicheza/ wanacheza vizuri tu mpira ndio atupiwe yeye majini aliyeondoka kwa kuuzwa?
Ni rahisi sana kwa wanasimba kuwatoa kwenye reli kwa danganya toto kama alivyoletwa Manzoki kwenye uchaguzi.
Viongozi badala ya kuwekeza kwenye mpira wao wanawekeza kwenye propaganda!
 
Unaweza kuwa sahihi maana Inajulikana Patrick nyembela aliyeandaa na kuongoza mahojiani ni mfuasi wa simba
 
Kuna namna ambavyo viongozi wa Simba wameamua kuwachezea mashabiki wao. Simba ilivyoenda Misri, stori kubwa ilikuwa ni Mayele kuitembelea Simba mara Mayele kuongea kuelekea mechi dhidi ya Al Ahly kisha boss wao Mo akapost kwenye ukurasa wake kaandika "Niseme au nisiseme" hiyo yote ni namna ya kuwazubaisha mashabiki wao.

Timu imetolewa klabu bingwa kwa kufungwa nje ndani tena kwa magoli mengi kisha imekuja kutolewa kombe la FA watu wakaanza maneno maneno mitandaoni mara hatumtaki Mo mara Mangungu na Try again. Baada ya hayo kujili ndipo Mayele kaja kuuzima moto kwa kubadilisha trending story midomoni mwa watu.

Mashabiki wa Simba wamepokea story ya Mayele na kuichukua kama ilivyo tena kwa furaha wakiaminishwa mabaya ya watani wao Yanga.
Mayele sio mtanzania na pia hachezei tena timu za Tanzania kuna sababu ipi ya kupewa air time na media za Tanzania kama sio ni mkakati huo?

Katika wachezaji waliondoka bila maelewano mazuri na Yanga ni Feisal, Niyonzima na Bangala lakini walicheza/ wanacheza vizuri tu mpira ndio atupiwe yeye majini aliyeondoka kwa kuuzwa?
Ni rahisi sana kwa wanasimba kuwatoa kwenye reli kwa danganya toto kama alivyoletwa Manzoki kwenye uchaguzi.
na lazima tuwaambie waarabu huyu shoga kawaita nyie washenzi ili mkataba aumalizie kwa kufirw..a tu pale misri
 
Yanga wenye akili 2 tu..
Wanadai Simba mbovu halafu wanahangaika nayo. Ndio maana kuna mchambuzi hivi karibuni amedai mashabiki wengi ni hohe hahe wanahamishia ugumu WA Maisha kwenye mpira. Siku baada ya mechi ya Simba au Yanga kuna watu wanaamka asubuhi kwenda vijiweni kubishana. Wiki ilipita walikuwa wanadai goli Lao wiki hii Simba mbovu🙄🙄
 
Wanadai Simba mbovu halafu wanahangaika nayo. Ndio maana kuna mchambuzi hivi karibuni amedai mashabiki wengi ni hohe hahe wanahamishia ugumu WA Maisha kwenye mpira. Siku baada ya mechi ya Simba au Yanga kuna watu wanaamka asubuhi kwenda vijiweni kubishana. Wiki ilipita walikuwa wanadai goli Lao wiki hii Simba mbovu[emoji849][emoji849]

Kwani hilo goli wanalolidai wiki nzima lilifungwa dhidi ya Simba? Unajua mnagombea kombe gani hadi sasa?
 
Unaweza kuwa sahihi maana Inajulikana Patrick nyembela aliyeandaa na kuongoza mahojiani ni mfuasi wa simba
Najiuliza nani kapanga hiyo program kati ya Azam au Mayele? Lengo ni nini ikiwa Mayele sio mtanzania na pia ni mwajiriwa wa nje ya Tanzania.
 
Back
Top Bottom