Mayele anatumika kimkakati

Mayele anatumika kimkakati

Kuna namna ambavyo viongozi wa Simba wameamua kuwachezea mashabiki wao. Simba ilivyoenda Misri, stori kubwa ilikuwa ni Mayele kuitembelea Simba mara Mayele kuongea kuelekea mechi dhidi ya Al Ahly kisha boss wao Mo akapost kwenye ukurasa wake kaandika "Niseme au nisiseme" hiyo yote ni namna ya kuwazubaisha mashabiki wao.

Timu imetolewa klabu bingwa kwa kufungwa nje ndani tena kwa magoli mengi kisha imekuja kutolewa kombe la FA watu wakaanza maneno maneno mitandaoni mara hatumtaki Mo mara Mangungu na Try again. Baada ya hayo kujili ndipo Mayele kaja kuuzima moto kwa kubadilisha trending story midomoni mwa watu.

Mashabiki wa Simba wamepokea story ya Mayele na kuichukua kama ilivyo tena kwa furaha wakiaminishwa mabaya ya watani wao Yanga.
Mayele sio mtanzania na pia hachezei tena timu za Tanzania kuna sababu ipi ya kupewa air time na media za Tanzania kama sio ni mkakati huo?

Katika wachezaji waliondoka bila maelewano mazuri na Yanga ni Feisal, Niyonzima na Bangala lakini walicheza/ wanacheza vizuri tu mpira ndio atupiwe yeye majini aliyeondoka kwa kuuzwa?
Ni rahisi sana kwa wanasimba kuwatoa kwenye reli kwa danganya toto kama alivyoletwa Manzoki kwenye uchaguzi.
Usimtonye Boya
 
Najiuliza nani kapanga hiyo program kati ya Azam au Mayele? Lengo ni nini ikiwa Mayele sio mtanzania na pia ni mwajiriwa wa nje ya Tanzania.
Interview ya mayele ndo kombe la SIMBA msimu huu.
 
Simba wanachezeshwa Danganya Toto , kanyaboya
na wanapotezwa maboya ila hawaelewi.

Mangungu kawekwa na Selikali.

Try agian kawekwa simba na selikali.

Mayele kapiga hela ndefu sana kuwahadaa wana simba na wamehadaika vibaya.
 
Kitu kilichonishangaza ni mtangazaji na Mayele kushindwa kuonesha kwa watazamaji huo mguu ulivyovimba. Ni usanii huu kama usanii mwingine ikiwa na lengo baya kwa Yanga na pia kutuliza malalamiko kwa mashabiki wa Simba.
 
Bahati nzuri na matokeo hawapati.......raha sana kuongoza mbumbumbu......wameshasahau waliletewa hadi na mtazamaji wa uchaguzi toka Kongo Manzoki
 
Kuna namna ambavyo viongozi wa Simba wameamua kuwachezea mashabiki wao. Simba ilivyoenda Misri, stori kubwa ilikuwa ni Mayele kuitembelea Simba mara Mayele kuongea kuelekea mechi dhidi ya Al Ahly kisha boss wao Mo akapost kwenye ukurasa wake kaandika "Niseme au nisiseme" hiyo yote ni namna ya kuwazubaisha mashabiki wao.

Timu imetolewa klabu bingwa kwa kufungwa nje ndani tena kwa magoli mengi kisha imekuja kutolewa kombe la FA watu wakaanza maneno maneno mitandaoni mara hatumtaki Mo mara Mangungu na Try again. Baada ya hayo kujili ndipo Mayele kaja kuuzima moto kwa kubadilisha trending story midomoni mwa watu.

Mashabiki wa Simba wamepokea story ya Mayele na kuichukua kama ilivyo tena kwa furaha wakiaminishwa mabaya ya watani wao Yanga.
Mayele sio mtanzania na pia hachezei tena timu za Tanzania kuna sababu ipi ya kupewa air time na media za Tanzania kama sio ni mkakati huo?

Katika wachezaji waliondoka bila maelewano mazuri na Yanga ni Feisal, Niyonzima na Bangala lakini walicheza/ wanacheza vizuri tu mpira ndio atupiwe yeye majini aliyeondoka kwa kuuzwa?
Ni rahisi sana kwa wanasimba kuwatoa kwenye reli kwa danganya toto kama alivyoletwa Manzoki kwenye uchaguzi.
Mayele naye ni mpumbavu ana mambo ya kitoto sana. Badala ya kucheza mpira yeye amekuwa anatumia muda mwingi kwenye mitandao kuiongelea Yanga tu. Alishaondoka, anatakiwa aangalie mbele lakini yeye kila siku anarudia ya Yanga tu. Inabidi Yanga impige gag order ya kumzuia asiongee jambo lolote linaloihusu Yanga, ama sivyo atashitakiwa. Halafu alishawahi kuatukana watanzania ilihali bado familia yake inaishi hapa hapa Tanzania
 
Back
Top Bottom