Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Kwa nn wasifannishwe.. Wydad mbona kafungwa na rivers? Yanga kamtoa rivers sasa utachagua kuukubalibukweli unaoupendaIdiot unawafananisha Waydad na USM Alger ...
Na wewe unamuwaza Mayele kuliko maisha yako.Hata goli la pili alilofungwa Yanga Juzi , lilitokana na Mayele kushangilia kupita kiasi goli lake la kusawazisha , hii ni kwa vile aliamini aliongoza ufungaji kwa mabao yake 7
Mtu kama huyu mbinafsi hafai , Nashauri apigwe chini kwenye game ya marudiano angalau kwa dk 45 za mwanzo ,nimewapeni yanga game plan , Kazi ni kwenu .
Muda huo USM wao watakuwa hawalioni Kombe?Yanga mechi ya pili ni rahisi kwao kuliko ya Taifa, hawatakuwa na pressure. Na hii imejionesha mechi zote anacheza away, anacheza vizuri na kupata matokeo tofauti na ilivyotarijiwa, kumbuka mechi na Al Hilal, Monastir, Marumo, Rivers.
Yanga watafanya vizuri
Hata Simba tu walichofanya dhidi ya Wydad ni dhahiri Yanga wenye ubora zaidi wanaweza.
Mkishiba makande huko mna kimbia kuisema YangaUto unasema game ya away against al hilal ulipata matokeo gani? ebu tukumbushe kidogo.
The way walivyo cheza kwa confidenceUto unasema game ya away against al hilal ulipata matokeo gani? ebu tukumbushe kidogo.
Ikawaje sasa?Alicheza vizuri , alitandaza soka safi na kwa utulivu.
Bangi hizi.Hata goli la pili alilofungwa Yanga Juzi , lilitokana na Mayele kushangilia kupita kiasi goli lake la kusawazisha , hii ni kwa vile aliamini aliongoza ufungaji kwa mabao yake 7
Mtu kama huyu mbinafsi hafai , Nashauri apigwe chini kwenye game ya marudiano angalau kwa dk 45 za mwanzo ,nimewapeni yanga game plan , Kazi ni kwenu .
Ni hapo tu nilipoamua kumpuuza...Idiot unawafananisha Waydad na USM Alger ...
Akili zmekaa ki looser ...je kama Yanga mko bora sanaa kwanini mmetolewa mapema CCL Na mkafungwa na ihefu ?Kwa nn wasifannishwe.. Wydad mbona kafungwa na rivers? Yanga kamtoa rivers sasa utachagua kuukubalibukweli unaoupenda
Mnajipa matumaini yasiyoendana na uhalisiaYanga mechi ya pili ni rahisi kwao kuliko ya Taifa, hawatakuwa na pressure. Na hii imejionesha mechi zote anacheza away, anacheza vizuri na kupata matokeo tofauti na ilivyotarijiwa, kumbuka mechi na Al Hilal, Monastir, Marumo, Rivers.
Yanga watafanya vizuri
Hata Simba tu walichofanya dhidi ya Wydad ni dhahiri Yanga wenye ubora zaidi wanaweza.
Mkumbushe Wydad Yuko fainali ya mabingwa Africa wakati Marumo kashuka daraja kwaoUnasema Yanga inaubora upi kushinda Simba iliyomtesa wydad kwake mpaka kamasi linamchuruzika huku ikijichagulia namna ya kujipigia uto ikitandaza kabumbu la viwango vya champions league?
Mayele anawaza yeye afunge Hilo jambo hata kocha wake kaongea sema kwa yanga yeye ndio tegemeo kubwa la ufungaji. Ila hiyo tabia wanayo wafungaji wengi tuliona kwa Thierry Henry, Christian RonaldoMShambuliaji wa mwisho kazi yake kubwa ni kufunga. Embu muondoe Mayele halafu watazame uto wangekuwa nafasi ya ngapi?
KweliMayele anawaza yeye afunge Hilo jambo hata kocha wake kaongea sema kwa yanga yeye ndio tegemeo kubwa la ufungaji. Ila hiyo tabia wanayo wafungaji wengi tuliona kwa Thierry Henry, Christian Ronaldo
Jikumbushe namna mlivyoshinda mech za ligi kuu kwa mberekoSimba msimu huu kaambulia nini? No ngao ya jamii, no ligi kuu, no FA, bado kuna ubishi???Yanga ni bora zaidi ya Simba
Aiseeee !!Na wewe unamuwaza Mayele kuliko maisha yako.
[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
Simba msimu huu kaambulia nini? No ngao ya jamii, no ligi kuu, no FA, bado kuna ubishi???Yanga ni bora zaidi ya Simba