Mayele anawaza kiatu cha dhahabu badala ya ushindi wa Yanga

Mayele anawaza kiatu cha dhahabu badala ya ushindi wa Yanga

Hata goli la pili alilofungwa Yanga Juzi , lilitokana na Mayele kushangilia kupita kiasi goli lake la kusawazisha , hii ni kwa vile aliamini aliongoza ufungaji kwa mabao yake 7

Mtu kama huyu mbinafsi hafai , Nashauri apigwe chini kwenye game ya marudiano angalau kwa dk 45 za mwanzo ,nimewapeni yanga game plan , Kazi ni kwenu .
Na wewe unamuwaza Mayele kuliko maisha yako.

🚶🚶🚶🚶
 
Yanga mechi ya pili ni rahisi kwao kuliko ya Taifa, hawatakuwa na pressure. Na hii imejionesha mechi zote anacheza away, anacheza vizuri na kupata matokeo tofauti na ilivyotarijiwa, kumbuka mechi na Al Hilal, Monastir, Marumo, Rivers.

Yanga watafanya vizuri

Hata Simba tu walichofanya dhidi ya Wydad ni dhahiri Yanga wenye ubora zaidi wanaweza.
Muda huo USM wao watakuwa hawalioni Kombe?
 
Mchezaji lazima ajiangalie yeye kwanza, afu ndo Club ifuate.
Mafanikio yake yanamsaidia yeye kununuliwa
 
Hata goli la pili alilofungwa Yanga Juzi , lilitokana na Mayele kushangilia kupita kiasi goli lake la kusawazisha , hii ni kwa vile aliamini aliongoza ufungaji kwa mabao yake 7

Mtu kama huyu mbinafsi hafai , Nashauri apigwe chini kwenye game ya marudiano angalau kwa dk 45 za mwanzo ,nimewapeni yanga game plan , Kazi ni kwenu .
Bangi hizi.
 
Yanga mechi ya pili ni rahisi kwao kuliko ya Taifa, hawatakuwa na pressure. Na hii imejionesha mechi zote anacheza away, anacheza vizuri na kupata matokeo tofauti na ilivyotarijiwa, kumbuka mechi na Al Hilal, Monastir, Marumo, Rivers.

Yanga watafanya vizuri

Hata Simba tu walichofanya dhidi ya Wydad ni dhahiri Yanga wenye ubora zaidi wanaweza.
Mnajipa matumaini yasiyoendana na uhalisia
 
MShambuliaji wa mwisho kazi yake kubwa ni kufunga. Embu muondoe Mayele halafu watazame uto wangekuwa nafasi ya ngapi?
 
Unasema Yanga inaubora upi kushinda Simba iliyomtesa wydad kwake mpaka kamasi linamchuruzika huku ikijichagulia namna ya kujipigia uto ikitandaza kabumbu la viwango vya champions league?
Mkumbushe Wydad Yuko fainali ya mabingwa Africa wakati Marumo kashuka daraja kwao
 
MShambuliaji wa mwisho kazi yake kubwa ni kufunga. Embu muondoe Mayele halafu watazame uto wangekuwa nafasi ya ngapi?
Mayele anawaza yeye afunge Hilo jambo hata kocha wake kaongea sema kwa yanga yeye ndio tegemeo kubwa la ufungaji. Ila hiyo tabia wanayo wafungaji wengi tuliona kwa Thierry Henry, Christian Ronaldo
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Hata hivyo ameipambania timu yake sana tu. Yeye sio beki kwamba angeenda kuzuia goli lisifungwe. Ana haki ya kushangilia kupata kiatu cha dhahabu. Jitihada zake zimeifikisha timu yake hapa ilipo na Yeye pia anastahili kiatu cha dhahabu. Acha afurahie jitihada zake.
 
Kama ilivyo kwa mmeo Mbowe kuwaza ruzuku kuliko matatizo ya chadema.
 
Back
Top Bottom