Mayele anawaza kiatu cha dhahabu badala ya ushindi wa Yanga

Wee subiri mvua ya mabao kutoka kwa waarabu bas [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Zjngatia hakutetema kwa sababu timu bado ilikuwa inadaiwa magor

Ila hata akiwaza kiatu ndo vizur inabid afunge magor mengi ndo tim tunahitaji ushindi

Ulitaka akuwaze wewe na dada zako?
 
Acha wivu dogo.Ushindi wa Yanga ni magoli,kupata kiatu cha dhahabu ni magoli so kupata kiatu cha dhahabu ni ushindi kwa Yanga pia
 
Mayele anawaza yeye afunge Hilo jambo hata kocha wake kaongea sema kwa yanga yeye ndio tegemeo kubwa la ufungaji. Ila hiyo tabia wanayo wafungaji wengi tuliona kwa Thierry Henry, Christian Ronaldo
Amssajiliwa kwa kazi gani? Je majukumu hake anatimiza kwa kiwango gani? Over
 
Mbali na malengo ya timu, inatakiwa pia kuwa na malengo binafsi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…