Timu ya Taifa lake haimfaham,hajawahi kuchukua tuzo yeyote, magoli yake Ni ya kubahatisha bahatisha tu!! Totolee takataka yako hum!!Kama unaceheki mpira vizuri hawa wa wili uchezaji wao hauna tofauti saana
Ila haaland ana mzidi mayele finishing tu
Mayele tayari anajua kuji position kama haaland
Ila ana matatizo ya umaliziaji tu
Ana pata chance nyingi ila kumaliza ndo shinda
Na ajifunze ku shoot outbox mara nyingi mayele akipiga Shoot nje ya box zinapaa juu kwanza Nilishangaa saana kuona amefunga simba goli la outbox
Na mwaka huu kawafunga 2 na kuchukuwa kombe na hili nalo una semajeTimu ya Taifa lake haimfaham,hajawahi kuchukua tuzo yeyote, magoli yake Ni ya kubahatisha bahatisha tu!! Totolee takataka yako hum!!
Sema mwaka Jana ubora wa lig ulishuka tu,msingechukua hata ubingwa
Asa mayele anaubora gani ambao ni spesho? Bora hata ungenambia msimu wake wa kwanza tu alotupia goli 20+Na mwaka huu kawafunga 2 na kuchukuwa kombe na hili nalo una semaje
Kwanini kukubali kwenu ni kugumu mashabiki wa simba mwenye uwezo ni mwenye uwezo tu eti ubora wa league ulishuka kwa hiyo ile miaka mi 4 ambayo mlikuwa mnachukuwa ubingwa ndo kulikuwa ushindani?
Haaland hana tofauti kubwa na mayeleMi Yanga ila mh Holaand hapana. Ile mashine isiotegemea oil.
Hizi dharau zenu ndizo zinazompa jeuri ya kuwalaza na viatu kila mnapokutana naye.Timu ya Taifa lake haimfaham,hajawahi kuchukua tuzo yeyote, magoli yake Ni ya kubahatisha bahatisha tu!! Totolee takataka yako hum!!
Sema mwaka Jana ubora wa lig ulishuka tu,msingechukua hata ubingwa
The Boss akija kusoma uzi huu atafadhaika sana.Kama unaceheki mpira vizuri hawa wa wili uchezaji wao hauna tofauti saana
Ila haaland ana mzidi mayele finishing tu
Mayele tayari anajua kuji position kama haaland
Ila ana matatizo ya umaliziaji tu
Ana pata chance nyingi ila kumaliza ndo shinda
Na ajifunze ku shoot outbox mara nyingi mayele akipiga Shoot nje ya box zinapaa juu kwanza Nilishangaa saana kuona amefunga simba goli la outbox