Mayele anaweza kuwa kama Haaland akirekebisha vitu vidogo tu

Mtoa mada anamsema haaland huyu huyu wa man city au haaland wa kule mbagala maji matitu.
 
Utakuwa unaangalia mpira ukiwa umeshabwia ugoro. Yaani huyu mgonjwa wa degedege ndiyo umpime na Haaland kweli?
 
Hizi dharau zenu ndizo zinazompa jeuri ya kuwalaza na viatu kila mnapokutana naye.
Mkuu na wewe umeingia kwenye huu ujinga wa kumuweka Mayele na Haaland kwenye mzazi mmoja? Mbona unajishusha sana,hii waachie washabiki oyaoya, sawa?
 
Mkuu na wewe umeingia kwenye huu ujinga wa kumuweka Mayele na Haaland kwenye mzazi mmoja? Mbona unajishusha sana,hii waachie washabiki oyaoya, sawa?
Hakuna sehemu nilipo mfananisha Fiston Mayele na Halaand! Kwa sababu ni wachezaji wa dunia mbili tofauti.

Ila wakati huo huo, huwezi pia kumdharau Fiston Mayele, kwa sababu tu kafananishwa na Halaand! Maana kwenye Ligi yetu ya NBC, ana heshima yake.
 

Kama ndio hivyo Mbona mayele ajaenda kucheza Ulaya yupo hapa bongo anashindana na ihefu?
Mwenzake wanaefanana huwezo yuko ulaya yeye yuko bongo hapa?
Sijui utakuwa unawaza nini yaani haaland huyu huyu wa man city au kuna mwingine ulikuwa unamaanisha?
 
Hivi ulimaanisha Haaland au Hulanzi?
 

Mbona haaland yuko Ulaya huyo mayele yuko bongo hapa kwanini?

Wanaojua mpira wako ulaya mkuu,wanaojua mpira hawawezi kucheza ligi ya bongo hapa.
 
Mayele ni bonge la striker nadhani huyu ndio roho ya yanga ...akiondoka huyu bwana na yule feisal yanga itabaki jina tu
 
Msilinganishe Halland na ujinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…