Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
- Thread starter
-
- #21
Aahhaaahh, hiyo mechi ya Al Ahyl ni zaidi ya mechi ni kufa na kuponaWakubwa wawili wanakutana huko. Watatuambia zile 3 walizipataje π¦π¦π¦ Hili duru la mwisho kuna mechi mbili tu kwenye mashindano ya CAF, hiyo na ya Al Hilal vs Al Ahly. Zingine zote ni mechi za mchangani.
Aaahhaaaah,Mleta mada ni boya sana π€£οΏ½
Aaahaaaah,Siku hizi shule wameacha kufundisha uzalendo yaani mtu anaiacha national team anashabikia congo kisa mayele.
Mkuu hujaona kipengere Cha chenga!?,matobo!?Mayele au Mr Zero ,maana kila kitu zero,
Shot blocked 0
On target 0
Off target 0
Key pass 0
Loh ikumbukwe na mechi iliyopita kugusa mpira 0
Hamna mchezaji hapo
Enonga kagusa mara ngapi?Kacheza dakika 37 kagusa mpira mara3 yote ya kurushiwa,,hajapiga hata shoot moja
Hata benchi hakuwepo,labda aligusa akiwa mazoezinEnonga kagusa mara ngapi?
Enonga kagusa mara ngapiKacheza dakika 37 kagusa mpira mara3 yote ya kurushiwa,,hajapiga hata shoot moja
Enonga kagusa mara ngapi mpira?Mayele au Mr Zero ,maana kila kitu zero,
Shot blocked 0
On target 0
Off target 0
Key pass 0
Loh ikumbukwe na mechi iliyopita kugusa mpira 0
Hamna mchezaji hapo
Mara elfu ila mazoeziniEnonga kagusa mara ngapi
Enonga kagusa mara ngapi mpira?
[emoji38][emoji38][emoji38]Katupia mangapi mkuu?