Mayele haingii hata robo ya Kipre Tchetche

Mayele haingii hata robo ya Kipre Tchetche

Camilo Cienfuegos

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2015
Posts
18,960
Reaction score
67,654
Kwa tunaofatilia soka tangu zamani, Fiston Mayele haingii hata robo kwa Kipre Tchetche aliyekuwa striker wa Azam Fc kutokea Ivory Coast.

Kipre Tchetche alikuwa analijua goli bhana. Alikuww na nguvu kama beki wako ni kushindia chips asingeweza kumkaba Kipre.

Kipre yeye alikuwa anachambua mabeki kadri anavyojisikia, lakini Mayele kazi yake ni kusubiri mpira ndani ya box na kuishia kuwa mzigo kwenye timu.

Mayele ana bahati ya kuwa katika kikosi kilichozungukwa na wachezaji bora wakati Kipre Tchetche yeye ndii aliibeba timu pale ilipomuhitaji.

Hivyo, tumpe muda Mayele tusimsifie sana, maana kuna wachezaji wazuri walishafanya makubwa na walikuwa na uwezo zaidi yake.

POVU RUKSA
 
Kipre si ndo yule alowikaga michuano ya CECAFA? Ivory Cost walikuwa waalikwa ktk michuano ile? Huyu jamaa si alikuwa na pacha wake, ndo yeye?

Endapo kama ni yeye, jamaa alikuwa anajua kweli, mpira wake haujaachana na Chikwende, alikuwa na mali miguuni.

Ukiniwekea hapa namba 9 kati ya Kipre Tcheche na Mayelle, wala sitajiuliza mara mbili kumchagua Fiston Kalala Mayelle. Kipaji na juhudi zake uwanjani wala haviitaji muda mwingi kumtambua kuwa ni moja ya namba 9 bora kuwahi kucheza league yetu ktk ardhi yetu ya Tanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mwenzako alianzisha mpaka uzi wa kumshindanisha Mayele na Kibu Dennis! Sasa hivi anatamani kuufuta ule uzi. Sasa na wewe unapitia mule mule!

Yaani unamlinganisha mchezaji anayeshiriki Ligi kuu ya NBC na mchezaji mwingine ambaye hata hajulikani yuko wapi! Maajabu haya! 🤔

Kwa nini usimlinganishe Mayele na Mugalu, Bocco, au Kagere ambao nao wanashiriki Ligi kuu?
 
Kama anaviziaga kwenye box sasa assist amepataje pataje na magoli tele? Tuanzie assist mechi ya jana ile bado sijaongelea mechi ile aliyokimbiza winga mpaka golini akamuachia ambundo amalize.
 
Kwa tunaofatilia soka tangu zamani, Fiston Mayele haingii hata robo kwa Kipre Tchetche aliyekuwa striker wa Azam Fc kutokea Ivory Coast.

Kipre Tchetche alikuwa analijua goli bhana. Alikuww na nguvu kama beki wako ni kushindia chips asingeweza kumkaba Kipre.

Kipre yeye alikuwa anachambua mabeki kadri anavyojisikia, lakini Mayele kazi yake ni kusubiri mpira ndani ya box na kuishia kuwa mzigo kwenye timu.

Mayele ana bahati ya kuwa katika kikosi kilichozungukwa na wachezaji bora wakati Kipre Tchetche yeye ndii aliibeba timu pale ilipomuhitaji.

Hivyo, tumpe muda Mayele tusimsifie sana, maana kuna wachezaji wazuri walishafanya makubwa na walikuwa na uwezo zaidi yake.

POVU RUKSA
So what?
 
Haya tumekukubalia kua haingii hata robo

Fungua uzi mwingine ukisema "mayele haingii hata nusu robo kwa Pape ndaw"
 
Pale bin-adam akijarbu kushindana na ukweli.
 
Kipre si ndo yule alowikaga michuano ya CECAFA? Ivory Cost walikuwa waalikwa ktk michuano ile? Huyu jamaa si alikuwa na pacha wake, ndo yeye?

Endapo kama ni yeye, jamaa alikuwa anajua kweli, mpira wake haujaachana na Chikwende, alikuwa na mali miguuni.

Ukiniwekea hapa namba 9 kati ya Kipre Tcheche na Mayelle, wala sitajiuliza mara mbili kumchagua Fiston Kalala Mayelle. Kipaji na juhudi zake uwanjani wala haviitaji muda mwingi kumtambua kuwa ni moja ya namba 9 bora kuwahi kucheza league yetu ktk ardhi yetu ya Tanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
kipre alikuwa hachezi kama namba 9. yule alikuwa winga anayeibia kwa ndani. alikuwa anatokea namba 11 kama okwi vile .
 
Kwa tunaofatilia soka tangu zamani, Fiston Mayele haingii hata robo kwa Kipre Tchetche aliyekuwa striker wa Azam Fc kutokea Ivory Coast.

Kipre Tchetche alikuwa analijua goli bhana. Alikuww na nguvu kama beki wako ni kushindia chips asingeweza kumkaba Kipre.

Kipre yeye alikuwa anachambua mabeki kadri anavyojisikia, lakini Mayele kazi yake ni kusubiri mpira ndani ya box na kuishia kuwa mzigo kwenye timu.

Mayele ana bahati ya kuwa katika kikosi kilichozungukwa na wachezaji bora wakati Kipre Tchetche yeye ndii aliibeba timu pale ilipomuhitaji.

Hivyo, tumpe muda Mayele tusimsifie sana, maana kuna wachezaji wazuri walishafanya makubwa na walikuwa na uwezo zaidi yake.

POVU RUKSA
Kama unaona kuvizia na kufunga kama Mayele na wewe nenda kavizie ufunge
 
Back
Top Bottom