Nilichoongea ni uongo?Tutolee hii pumba basi,
Kwani wewe umeona error inayomuhusu mayele tu ktk ligi hii?
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Aliasisi kutetema Siku ya ngao ya jamiiMwambie akateteme kwa M23 huko kwao kongo
NilisahauPia na coast alikuwa amepiga halt trick...lines man akachomoa!
Alichowafanya ngao ya jamii kinatoshaMaele amekuwa Mapele yanawawasha mwili mzima siku nzima msimu mzima pole yenu Utopolo. Tangu Hamis Tambwe 2015/16 hamjui Kiatu cha dhahabu kinafananaje!
Wanachuki balaaMayele amewanyima sana raha wanasimba [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umeona clip yake lakini? Analia huku anamfata kibenderaaa, mbavu cna uwiiiiiih.Yani tuchukue ubingwa alafu tusiwe na furaha??
Makolo mmepanic kweri-kweri [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mmmmmh mtindio wa ubongoJibu hoja kwa hoja, usinichekee chekeee nitakupachika mimba uonekane kiroja
SanaHoja ni kwamba makolo wamechiwa kidonda sugu na mayele.
Sijaelewa mmmmmh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umeona clip yake lakini? Analia huku anamfata kibenderaaa, mbavu cna uwiiiiiih.
Analalama huko wachezaji wenzake hawampi ushirikiano, woiiiiiiih.
Sisi tulivyokua tunachukua ndoo, na wafungaji bora tunatoa tena sio m1 ? Ni wengi afu wanafuatana sasa.
Record mliyoweka leo, Simba na Azam zilishafanya hivyo Zaman.
Mpoleeeeeee kasimamisha jiji, katuliza wenge la vumbi la salamander tower. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaaaa nimecheka sana hii pointAliasisi kutetema Siku ya ngao ya jamii
Imeisha hiyooo kiatu wasubiri vya gsm[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umeona clip yake lakini? Analia huku anamfata kibenderaaa, mbavu cna uwiiiiiih.
Analalama huko wachezaji wenzake hawampi ushirikiano, woiiiiiiih.
Sisi tulivyokua tunachukua ndoo, na wafungaji bora tunatoa tena sio m1 ? Ni wengi afu wanafuatana sasa.
Record mliyoweka leo, Simba na Azam zilishafanya hivyo Zaman.
Mpoleeeeeee kasimamisha jiji, katuliza wenge la vumbi la salamander tower. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ikawaje baadae anatetemea chooniAliasisi kutetema Siku ya ngao ya jamii
Nimegundua Watanzania tuna dhamira finyu sana ya Utaifa Mioyoni mwetu.
good
Mwaka 2010 Drogba na Rooney walikuwa na Magoli sawa mechi za Mwisho kama leo.
Mnakumbuka Lampard alimfanya nini Drogba na Vyombo vya habari vya Uingereza viliandika nini?
Chelsea inapata penati dhidi ya Wigan Athletic, Drogba anaenda kupiga ili ampiku Rooney, anakuja Mwingereza mwenzake Rooney kwa jina la Lampard anampoka Drogba mpira asipige penati ili asimpite Mwingereza mwenzake.
Thanks Drogba baadae aliscore na kutwaa kiatu.
Thanks kwa Simba we did it for JOHN BOCCO last season.
Kwa hiki ulichoandika unasadifu akili za watanzania wengi wasiothamini vya kwao. Who is Mayele by then broo, acha kuonyesha umburula wako
Muhimu ni Yanga kutwaa ubingwa au ufungaji bora wa Mayele ?Mayele alifunga goli safi ktk mechi na Geita (Mkapa stadium), likakataliwa. Meshi na Mbeya city (Mkapa stadium) alikuwa denied nafasi mbili za wazi kwa uamuzi mbovu wa refa. Leo pia, kilichotokea kinafahamika.
Ni wazi kuwa maamuzi hayo yameathiri matokeo ya timu yake na ya kwake pia. Ameonewa sana
Mayele alifunga goli safi ktk mechi na Geita (Mkapa stadium), likakataliwa. Mechi na Mbeya city (Mkapa stadium) alikuwa denied nafasi mbili za wazi kwa uamuzi mbovu wa refa. Leo pia, kilichotokea kinafahamika. Ni wazi kuwa maamuzi hayo yameathiri matokeo ya timu yake na ya kwake pia. Ameonewa sana
Kwani uelewe kiatu cha TFF kipo jangwani? Kiatu kipo mgodini huko. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sijaelewa mmmmmh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kabisaaaa.Imeisha hiyooo kiatu wasubiri vya gsm